Recent content by Kamwene kamwene

  1. Kamwene kamwene

    JamiiForums Tanzania Msaada tutani: Mwenye mkataba wa biashara ya Bodaboda

    Mliotumiwa mkataba PM mtuwekee hapa nasisi tuusome
  2. Kamwene kamwene

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Offer ya January: Pata computer kwa bei poa

    Iyo HP specification zake na Bei ?
  3. Kamwene kamwene

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kuweka maandishi yawe kwa mtindo wa EPUB?

    Salute mkuu, nawezaje kuyatoa maandishi yaliyoandikwa kwenye karatasi na ikupigwa picha .. nataka yawe kwenye mfumo wa text
  4. Kamwene kamwene

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mfanyakazi wa stationery

    Naomba nipigie mkuu naweza iyo kazi 0763386962
  5. Kamwene kamwene

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa jinsi ya kurestall setting za simu tu bila kufuta Downloaded Apps

    me nimekuelewa vyema, unatumia simu gani ? fungua system nenda kwenye setting fungua reset option. nenda kwenye reset all system setting. usiende kwenye factory reset
  6. Kamwene kamwene

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa wenye ujuzi wa telecommunication

    kwa sababu umeuliza habari za Telecommunication najaribu kukujibu. kwenye kwenye transmit of signal kuna kitu kinaitwa modulation na demodulation. ndani yake humo unapata kitu inaitwa simplex na duplex, simplex ni kutuma taarifa kwa one direction duplex ni kutuma taarifa with one another in...
  7. Kamwene kamwene

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi za ndani kama vile kufua, usafi, madukani au hotelini

    kila la kheri ,kwa imani Mungu atatimiza hitaji la moyo wako
  8. Kamwene kamwene

    JamiiForums Tanzania What is your experience on this job?

    wakati upo chuo umewai kufanya field, ile ndio experience yako tosha
  9. Kamwene kamwene

    JamiiForums Tanzania Je hizi ni CPU au ni kitu gani?

    kitaalamu ni system unit mkuu sio CPU
  10. Kamwene kamwene

    JamiiForums Tanzania Mafundi electronics na network, hiki kifaa kinauzwaje?

    nenda kachek ebay mkuu. splicing machine million 40
  11. Kamwene kamwene

    JamiiForums Tanzania Nakosea kuajiri Mwanaume duka la vipodozi?

    Kijana wako akiahindwa kazi mm nipo boss
  12. Kamwene kamwene

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu ununuzi wa tairi la gari na utumiaji wake

    sasa hapo kwenye hizo code mbona kuna R na S zote kwenye tairi moja. hiyo R inamaanisha nini
  13. Kamwene kamwene

    JamiiForums Tanzania 500 Business Ideas (Mawazo ya Biashara 500)

    business idea bado zinatumwa ?
  14. Kamwene kamwene

    JamiiForums Tanzania 500 Business Ideas (Mawazo ya Biashara 500)

    mwenye hicho kitabu please
Back
Top Bottom