Recent content by kamunyomo

  1. kamunyomo

    Hivi Sheria za Barabarani haziwahusu Viongozi wa kisiasa?

    Kesi za magari, ukipekwa mahakamani na Kesi ikaisha muathirika,anapaswa kufuatiria insurance kwa ajili ya mtibabu na mengineyo
  2. kamunyomo

    Kwa tabia hizi, bora house girl tuwatafune sie wakina baba!

    Unaweza kuzitafuna matokeo yake ukauwa familia yako yote. Wenyewe wanasema, ukisema embe changa wenzio wanakula na chumvi kwa hiyo wengi wamepita humo
  3. kamunyomo

    TBC mnatuangusha watanzania

    Hii TBC kama Gari bove kwenye mashindano haliendi mbala, wanashindwa na ZBC2!!!
  4. kamunyomo

    Rais Magufuli mpandishe cheo askari wetu kwa Ushujaa wake

    Hebu mtuweke wazi ni maneno gani ambayo yalipelekea risasi kurindima vile?
  5. kamunyomo

    Hili basi ndo wamepewa serengeti boys-bendera ya Tanzania iko wapi?

    Kwa kuwa ndio bingwa safari hii wanaanda kubwa ya aina yaki pekee
  6. kamunyomo

    Je, nini kinasababisha matiti kulegea kabla ya kuzaa?

    Hata utoaji mimba unachangia pia matiti
  7. kamunyomo

    Nahisi hili jitu linachukua msichana wangu

    Hao wanapika na kupakua vyote
  8. kamunyomo

    Naombeni ushauri huyu msichana nimuache au nifanyaje?

    Hapo unatakiwa umpige na dushelele kwenye huyo mlinzi chupa mpaka maji yaishe, tena chini sio kitandani
  9. kamunyomo

    Hivi nitajuaje kama nimelogwa?

    Mkeo hata akijamba wewe unaitika ujuwe tayari
  10. kamunyomo

    URAIA wa waikulu mbona utata mtupu?

    Kama ilivyozoeleka binadamu hatukosi maneno kwa lolote litakalo kuja mbele yetu
  11. kamunyomo

    Hivi huyu dogo alitaka kufanya nini?

    Watoto wengine mpaka wajifunzie kwa wakubwa
  12. kamunyomo

    Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

    Kama picha kuwepo kanisani nikuziabudu, je picha ya Rais ikiwepo ofisi inamaanisha nini?
Back
Top Bottom