Ukitaka ufaidi ufanye hili
Kila mnapotaka kumegana mmoja awe staring na mwingine awe anafuata maelekezo yastaring tu ili siku hiyo staring afaidi
Siku nyingine staring awe mwingine yaani wewe kama siyo staring ni kufanya kila atakalo staring ili apate utamu zaidi
Yaaani...
Igunya litaendelea tu mpaka hapo tutakapokaa kikao na kuyamaliza
Mbona umesahau chagulaga hebu lete Uzi huo wenye mashiko makubwa kwa jamii.
Angalia pia kuwa mateso waliyonayo wanawake lkn kumbuka kuwa tutakapoitisha kikao uwe wa kwanza.
Kipindi cha nyuma tuliachwa kuchaguliwa kutoka shule za msingi na tuliofanikiwa kwenda shule za watu binafsi ndo tuliokuwa tunatesa kuongoza kwa matokeo mazuri
Namaanisha kabisa kuwa mtoto yeyote anaweza kufanya ajabu ni mazingira rafiki tu kwa kusoma yatamfanya afauru vzr mashukuru mkuu...
Ili mwanafunzi afauru vzr anahitaji maandalizi mazuri no pamoja na kuwabana na kuwalipa vzr walimu iliwaweze kumwandaa mwanafunzi
Shule binafsi zinawalipa walimu vzr hili linasababisha walimu kujituma na kuwapa mbinu bora wana funzi wao kwa ufauru mzuri.
Vitendea kazi kwa walimu na...
Kuna dawa nyingi sana za uti lakini inategemea ni mdudu gani kasababisha hilo tatizo na ustahimilifu wa mtumiaji
Kujua sanasana kuwa ni dawa ipi labda ufanyiwe culture and sensitivity.lkn kama ukaongea na dactari yeye atakuuliza maswali aweza kubaini ni tabia ya wadudu gani wanaokusumbua...
Kama inawezekana kafanye vopimo vya abdominal ultrasound ili kujua mtoto kalala vip katanguliza nn na ana umri gani
Kama vipimo vitakuwa safi tegemea mkeo kujifungua salama kabisa na mtumishi yeyeto mwenye fani ya afya aweza kumsaidia popote tu na akajifungua vzr sana
. licha ya...
Hii ipo sana tu hata kama anakutafuta demu ndoo zao yaanani hasa wa mjini kwa kalumanzila wamezidi lkn wanaowafanya wanaume wawe vicheche ni wao tu kwa kuwa MTU akilishwa basi jua atakuwa na tamaa hivyo hatakomea kwake tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.