Mambo vipi wadau natumai mko poa huku tukijenga taifa letu kwa umoja kabisa japo changamoto ni nyingi.
Leo mchana nimeshangaa natumiwa sms ya salam na Ex wangu via insta , nimebaki najiuliza hivi huyu kakumbuka nini kwangu wakati aliondoka kwa mbwembwe nyingi hata simu yangu alikua hapokei...
Wadada tunapowahitaji katika kipindi kama hiki mjaribu kuitika wito mapema na kama hauji basi toa taarifa mapema ili mtu afanye alternative nyingine siyo tunawasikilizia baadae mida ishaenda unasema hauji mnatuumiza sana, ukizingatia hali kama hii ni adimu hapa Dar.
Asanteni, tubarikiwe wote...
Hii namba 3 kwanza sijaielewa mana mademu wengi hawataki uwapigie usiku sababu ana vidume wengi inawezekana mida hiyo kaenda kulala kwa Jafar, hapo si ndo ataona unamzingua kabisa.
Maisha haya ndio mana wanasema usitafakali unakoenda bali tafakali ulikotoka, nakumbuka nimeanza kuvaa viatu yaani vya kwangu kabisa nikiwa darasa la nne kabla ya hapo nilikua napekua all the time hata ikitokea nikapata ndala ilikua lazima zivaliwe kwa siku maalumu.
Nakumbuka kuna kipindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.