Recent content by Kamnyomo

  1. Kamnyomo

    JamiiForums Tanzania Project partner au mwajiri karibu

    Nishakuja Pm boss
  2. Kamnyomo

    JamiiForums Tanzania Project partner au mwajiri karibu

    Wadau kijana bado hajapata,let's share with friends
  3. Kamnyomo

    JamiiForums Tanzania Project partner au mwajiri karibu

    Habarini... Kuna kijana mzoefu na mchapakazi sana mwenye ujuzi wa kilimo cha kisasa cha mazao ya mbogamboga pamoja uzoefu wa kutosha katika ufugaji wa kuku wa kienyeji, Anatafuta mdau mwenye shamba wafanye project au mwajiri wafanye kazi pamoja. Yupo tayari kufika popote now yupo Kibaha.
  4. Kamnyomo

    JamiiForums Tanzania Sijajutia kabisa safari yangu ya Morogoro kuangalia maeneo (ardhi) ya uwekezaji

    Uzi mzuri kabisa kwa kijana
  5. Kamnyomo

    JamiiForums Tanzania Natafuta msimamizi wa shamba la mifugo na kilimo

    Mtoa maada ushapata manager?kama bado kuna mtu anauzoefu wa kutosha atakuwa msaada mkubwa sana kwako
  6. Kamnyomo

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kwenda kuanzisha kilimo mkoa wa Katavi

    Mkuu vp ulifanikiwa?
  7. Kamnyomo

    JamiiForums Tanzania Natafuta mteja wa vanilla iliyokaushwa

    Mie nimekwambia mzigo upo ww tafuta mteja aje aone mzigo tufanye biashara
  8. Kamnyomo

    JamiiForums Tanzania Natafuta mteja wa vanilla iliyokaushwa

    Una mteja?
  9. Kamnyomo

    JamiiForums Tanzania Natafuta mteja wa vanilla iliyokaushwa

    Now washatoka huko kwenye monopoly buyer kila mtu anauza popote ambapo pana tija.
  10. Kamnyomo

    JamiiForums Tanzania Natafuta mteja wa vanilla iliyokaushwa

    Habarini members. Kuna mzigo wa vanilla safi iliyokaushwa vizur unatafuta mnunuzi/mteja. Kiasi kilichopo:Tani 40 Bei kwa kilo : Tsh1,100,000/= (negotiable) Mahali mzigo ulipo: Comoro Mzigo unafika mahali popote ukihitaji karibu PM for more details
  11. Kamnyomo

    JamiiForums Tanzania Amefanya kila njia nizae naye

    Akafanye artificial insemination km mwezie [emoji3][emoji3][emoji3]
  12. Kamnyomo

    JamiiForums Tanzania Connection ya Ufugaji Isimani, Iringa

    Huko nenda kajichanganye utapata kila kitu Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Kamnyomo

    JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba

    Kuna dada ni wife material mzuri ana vigezo vyote apo ila ni ex wangu nikusukumie uoe chap[emoji3]
Back
Top Bottom