Mimi nashindwa kuelewa weupe ndani ya uafrika ulitokana na nini maingiliano na wageni au? Mi sipati picha manayake weupe pia unatofautiana na nahisi hii dhana kichwani mwangu ina mashiko!!
Mi naona mifumo hii imelemaa lakini kuna uwezekano wa kulipa kodi kwa kuzingatia mazingira halisi mfn maduka madogomadogo ya rejareja yangekua yanalipa ushuru kwa serikali za mitaa kila cku labda 500 au 1000 wangekua wanakusanya kwa mwaka hela nyingi sana ila TRA wanasubiri wapelekewe laki 2...
Nilidhani nimeona mimi tu lakini kama meli hazipo manayake hatuagizi tena aidha kwa shinikizo la ndani la kibiashara au mzunguko umekufa!! na asikuambie mtu biashara ina principle zake mfn nilisikia sukari ilikamatwa ikagawiwa taasisi za serikali bure hii manayake nini ?manayake mtaji umekufa...
Hili la biashara kufa linanigusa kidogo hapo nilipita na pantoni nikienda kigamboni nikatupia macho shamba la meli mbele ya bomba la maji machafu hakuna meli kabisaaa sijajua nini tatizo!! Najua tunalenga uchumi wa viwanda lakini pia hatutaupata kwa kipindi kifupi hivi!! Mwl nyerere alifungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.