Lumumba mna shida kwani ukijibu kwa hoja hutapata posho mpaka ujibu kwa mipasho ya akina hadija kopaPOST ZA WANYWA VIROBA UTAZIJUA SASA HAPO NDO UMEONA UMEANDIKA.POINT...
VIJANA WA BAVICHA HAMNA JIPYA .
zimefungwa au hazina mapatoBiashara nyingi
Majibu yako hayaendani NAmada.....tunHuyu hana lolote. Mlikua hamlipi kodi sasa mmebanwa mayowe kibao. Taratibu mtazoea kulipa kodi msijali, mbona kuna kipindi wa Tz tulikua hatuamini kama unaweza angalia tv kwa kulipia, lkn sasa aaa!! kiroho safi, tena unachagua mwenyewe. zuku, azam, continental, dstv n.k. Lkn pia kaka ni vema ukajua pia kwamba yale mapato ya mwanzo yalikua makubwa kwa kuwa ulilipa na ile kodi uliyokwepa kipindi cha Jk huyo unaemsifia baada ya JPM kukubaini, na madeni yako yameisha hivyo tegemea kweli mapato kushuka coz sasa unalipa ile halali sasa. Pole mkuu, ila uwe mzalendo.
Mkuu, hizo ni hisia zako tu ila ukweli unabaki kwamba TRA wanakusanya mapato kwa kuvuka malengo yao
POST ZA WANYWA VIROBA UTAZIJUA SASA HAPO NDO UMEONA UMEANDIKA.POINT...
VIJANA WA BAVICHA HAMNA JIPYA .
Unamwandiko mbayaPOST ZA WANYWA VIROBA UTAZIJUA SASA HAPO NDO UMEONA UMEANDIKA.POINT...
VIJANA WA BAVICHA HAMNA JIPYA .
Yanapangwa kisiasa na tuendeka mtabidili utaratibu itakuwa ni siri na sababu ya kufanya iwe siri hamtakosa.Kwani wewe unavyoelewa kuvuka malengo ni kupi? Nijuavyo mimi ni kwamba unavuka malengo pale ambapo umezidisha kile ulichojipangia. Kumbuka malengo ya TRA hayapangwi kienyeji kama mapato yenu pale Ufipa
Watu hawafati mzigo tena....wadada wa hotel wanatemeshwa Kazi balaa....hoteli zimeathirika sana....hata return za mwezi wa sita TRA zitakuwa za hovyo kuliko zoteWapiga dili wameanza tena kupiga dili. Wanadai wameshazoea mkwara wa mkulu. Si mnaona hata mawizarani milango na mageti hayafungwi ili kubana wachelewaji? Ile gesi ya kwenye soda imeisha. Watu wamerudi kwenye business as usual. Na hata zile fashion za safari za kustukiza hazipo tena.
Mapato yatashuka zaidi mpk kufikia billion 500 kwa mwezi. Maana naona kasi ya kufunga mabaa na mahoteli ni kubwa mno. Maduka ndo usiseme.
marehemu wa kujikomba haya diamond lete madawati wanajipangia 5000 halafu wanasema wamevuka maleno kwa kwi kwi wakurupukaji mutaenda mpaka bilioni 600 hamna maono wala akili za kuendesha uchumiMkuu, hizo ni hisia zako tu ila ukweli unabaki kwamba TRA wanakusanya mapato kwa kuvuka malengo yao
Yanapangwa kisiasa na tuendeka mtabidili utaratibu itakuwa ni siri na sababu ya kufanya iwe siri hamtakosa.
Ulitabiri mwezi Aprili kwamba siku itaposomwa bajeti ya Waziri wa Fedha itaonyeshwa "Live" pamoja na marufuku
iliyopigwa kuonyeshwa live na TBC, ila tu kwa maswali na majibu.Kwa utabiri wako huu tena, sioni haja ya kutokukuamini...
Malengo yanapangwa kabla ya mwaka mpya wa bajeti, sasa wewe unayesema yanadidimia sijui unatumia akili gani, lengo la TRA hadi la June 2017 litakuwa rasmi siku wanayopitisha bajeti, ujuaji mwingi halafu kichwani hamna kitu.Si kile atayepingana na wewe yuko Ufipa.
Hoja hapa wala siyo kuvuka malengo. Hata kama malengo yanapangwa kitaalamu(hilo linafaamika), hoja ni kwa mimi malengo yanazidi kudidimia?
Bandari imekimbiwa....watu wako Mombasa na Beira.......mapato ya bandari yameshuka kwa asilimia 49,Hili la biashara kufa linanigusa kidogo hapo nilipita na pantoni nikienda kigamboni nikatupia macho shamba la meli mbele ya bomba la maji machafu hakuna meli kabisaaa sijajua nini tatizo!! Najua tunalenga uchumi wa viwanda lakini pia hatutaupata kwa kipindi kifupi hivi!! Mwl nyerere alifungua kiwanda cha cement tng nadhani 1980 hii ina maana alikua akijenga viwanda kidogokidogo na vimeyuka kwa kufumba na kufumbua!! kiukweli safari yetu ni ngumu na ndefu