Recent content by KAMJUS

  1. K

    Omba lisikukute la Tigo lililonisibu

    Ila ya joto nimeipata
  2. K

    Omba lisikukute la Tigo lililonisibu

    Wanajamvi, usiku wa leo nilikuwa naoga mida ya saa4 unusu hiv usiku. maji yakapelea nikamwagiza mdogo wangu anongezee maji. Kama kawa alishazoea akitokka anapiga roky. Ebwana eh namaliza kukoga mlango unagoma. Nikajipa moyo kwa vile nilikuwa na kisimu cha tochi kina line ya Tigo (maana ndani...
  3. K

    Kikao cha 8, mkutano 19, Bunge la 10, maana yake nini? Soma ufafanuzi wake hapa

    Japokuwa nilikuwa naelewa hilo ila umenitia shule zaidi. na hiyo ndio lengo la jf kuelimishana kila kukicha. SALUTE KWAKO MTOA MADA!!!!
  4. K

    Utapeli mpya wa Meridian Betting Online hauvumiliki kamwe

    Sasa unataka wao wale wap? Acha wale kwa wale waleeeeee...waliwao!
  5. K

    Eti Kisukuma kina wazungumzaji wengi kuliko Kiswahili

    lkn ni wajibu wetu juelimishana wanajamvi la jf. asiyetaka kuelimika tumuache alivo
  6. K

    Msaada; Tecno S3 nikiiwasha inaishia tu kuonesha neno Tecno

    Tatizo dogo sana, virus ndo imeishika, mafundi dar wamejaa mbona
  7. K

    Nabii Frank Kilawa unatutishia maisha!

    Amekufuata kwako au umejipeleka? Mambo mengine yasolve mwenyewe
  8. K

    Eti Kisukuma kina wazungumzaji wengi kuliko Kiswahili

    Ndugu, HEBU ACHA JAZBA Ni kwamba kisukuma kinaongoza kwa kwa kuwa na waongeaji wanaokitumia kama lugha yao ya kwanza tofauti na kiswahili kina waongeaji wengi lkn sio lugha yao ya kwanza …[mother tongue] wengi wetu hujifunza kiswahili lkn kisukuma hawajifunzi ila wanakua nacho ndo maana...
  9. K

    Eti Kisukuma kina wazungumzaji wengi kuliko Kiswahili

    Ni kwamba kisukuma kinaongoza kwa kwa kuwa na waongeaji wanaokitumia kama lugha yao ya kwanza tofauti na kiswahili kina waongeaji wengi lkn sio lugha yao ya kwanza …[mother tongue] wengi wetu hujifunza kiswahili lkn kisukuma hawajifunzi ila wanakua nacho ndo maana kinaongoza kuwa na `native...
  10. K

    Kujiunga na Chuo cha Usalama wa Taifa kilichopo Mbweni, Bunju

    ndg hiyo sio ajira ya kujipendekeza wala ya kuomba. Hapo unapoish usalama wa taifa wanakujua tu kwa hiyo kama watachunguza nyendo zako wakaridhika basi utashtukiwa unakamatwa na kupewa taratibu za kufanya kazi. Mkuu usijipe presha kazi hii haitangazwi popote hivo wanaounganishwa ni kwa siri...
  11. K

    Mahakama ya Kadhi ni nini?

    Yaani bora umesema ukweli. Maana watu tumeshajengewa kama kauadui kwa jambo ambalo hatuuelewi kiufasaa. Naungana nawe WALE WENYE UJUZI TU NDO WACHANGIE kuhusu hili. Naomba tuilinde TANZANIA yenye watz wenye dini. Tusirumbane!
  12. K

    Tatizo la TV kujibadili rangi naomba msaada

    Dah wadau mmenipa moyo NASHUKURU SAANA
  13. K

    Mbunge wa Nkenge, Asumpta Mshama lazima ung'oke 2015!

    Jamani huyu ni housegirl mstaafu mumwonee huruma angalau apate kaposho kakumzeesha!
  14. K

    Milio ya Risasi yasikika mitaa ya Mwenge, Bodi ya Mikopo

    Wanajamvi mbona mnabaka mada? mtoa mada kauliza kinachojiri halafu mnaweka utani mara wanaume wa dar mara oh panya...HAIHUSU JIREKEBISHENI.
Back
Top Bottom