hahahahaaaaa! le profeseri! huyu profesa anataka kutuambia jiju la dsm kuna watu wengi wasiojua kiswahili???? chukua idadi ya watu wanaokaa mijini tu ambao wote wanajua kiswahili wanazidi milioni kumi. hata hao wasukuma mfano chenge anajua kiswahili. Hatariiiii, prof.