Recent content by Kamjingijingi

  1. Kamjingijingi

    TBC, hamjapata habari kuwa Mbowe kapata dhamana?

    wapinzani kweli hamkosi lawama .misiba kibao ische kutangaza misiba umeona mbowe tuu?
  2. Kamjingijingi

    TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

    wa tz mnajuwa kuongea kufa kupo na kila moja atakufa na kusameheyana ni jambo zuri sana leo mnatunga mengine
  3. Kamjingijingi

    Marafiki laki 5 tu wakiamua kumchangia Mh Lissu elfu 2 tu kwa mwezi atakuwa amepata Tsh 1 billion

    mnajuwa kuongea na kupotosha watu nani afurahi mtu yoyote kufa?? labda sio tz 'amini tunyo kasoro wakina lissu wanataka madarKa ya kuongea
  4. Kamjingijingi

    Muda wa kumuonesha trafiki leseni ni mpaka siku tatu kama umesimamishwa na huna

    kweli hako katabiya tunako wa Tz ni kwa amani ilivyotutawala
  5. Kamjingijingi

    Sumaye alaani kauli ya Paul Makonda.

    kuni ubaya gani akisema hivo?mh waitara ndio alikuwa mvumilivo kashindwa itskuwa sumaye?! sumaye siyo mvumilivu hata sasa nikaogopa tu kumangamanga yeye kama ni kula alikula ccm akasomea akasomesh akShiba
  6. Kamjingijingi

    Kipi kinakupa amani kwamba unapendwa na uliyenaye?

    [emoji1319][emoji1319][emoji1319]
  7. Kamjingijingi

    NATAFUTA MKE WA KUOA

    11 umechemka malaya hajijui ndugu yangu
  8. Kamjingijingi

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Naomba mwenye kuku wachotara wanaoanza kutaka kutaga tafadhali
  9. Kamjingijingi

    Nani aliyetulaani wana wa mkoa wa Mara?

    mara watu wake ni wagumu sana kuongeza wanawake nisifa mke kuletewa mke kwao ni sawa mwanaume anakula siri na wazazi akipata hawara jioni asubuhi ni mke [emoji12]ukiona amepata pesa tegemea wake hata kumi siyo maisha
  10. Kamjingijingi

    Je, kufuta fao la kujitoa ni kuwarudisha watu utumwani?

    kawaulize siku hizi mbona nitahisi alafu utatuhabarisha
Back
Top Bottom