Recent content by kamikaze tz

  1. kamikaze tz

    Kuna siri gani kwa wazaliwa wa mwisho(vitinda mimba)

    Mimi kwetu ni “kitinda mimba “ wa mwisho kabisa, na nifamilia ya watoto 7. Lakini pamoja na kuwa ni mdogo kwa familia yangu lakini mziki wa shuhuli zangu hakuna anaeweza kufanya, sina utajiri lakini nashukuru naweza kupanga “leo nile nini”, nimejaribu hata kuwabeba wakubwa zangu kuwafundisha...
  2. kamikaze tz

    Mwanzo wa meditation

    Mkuu mi nataka nianze, je ni ipi nzuri ya kuanzia?
  3. kamikaze tz

    Mwanzo wa meditation

    Thanks kwa somo, nitaanza soon hii kitu
  4. kamikaze tz

    Ngurumo: Mtanzania mwenzangu, nakuletea kitu cha ncha kali kinaitwa *SAUTI KUBWA

    Unavyomdhibiti mwanadamu katika haki basi tegemea mapambano makali [emoji124][emoji124][emoji124]
  5. kamikaze tz

    Mbunge wa Ukonga, Chacha Waitara kazi imekushinda

    Kazi ya mbunge ni kuishauri serikali na kuisimamia kufikisha mahitaji ya wananchi majimboni mwao, na serikali isipotimiza ni wajibu wa mbunge kurudi kwa wananchi kuishitaki serikali kwamba haijakubali kutekeleza lile wananchi wanalotaka. Sasa mbunge wa Ukonga waitara kafanya lipi hapo?
  6. kamikaze tz

    Mbunge wa Ukonga, Chacha Waitara kazi imekushinda

    Ninachokiona huyu mbunge labda hana mpango wa kuja tena kuomba kura kwa wananchi, ila anawatengenezea matokeo mabaya chama chake 2020 hata kama wataleta mtu mwingine wananchi hawatakuwa na imani.
  7. kamikaze tz

    Mbunge wa Ukonga, Chacha Waitara kazi imekushinda

    Huyo mbunge wa ukonga Kweli wananchi tuliingia mkenge, nimefauatilia bunge tangu limeanza hajawahi kuzungumzia matengenezo ya barabara za jimbo lake. Wananchi tumewatuma wabunge ili watusemee kwa serikali mahitaji yetu.
Back
Top Bottom