Mimi kwetu ni “kitinda mimba “ wa mwisho kabisa, na nifamilia ya watoto 7. Lakini pamoja na kuwa ni mdogo kwa familia yangu lakini mziki wa shuhuli zangu hakuna anaeweza kufanya, sina utajiri lakini nashukuru naweza kupanga “leo nile nini”, nimejaribu hata kuwabeba wakubwa zangu kuwafundisha...
Kazi ya mbunge ni kuishauri serikali na kuisimamia kufikisha mahitaji ya wananchi majimboni mwao, na serikali isipotimiza ni wajibu wa mbunge kurudi kwa wananchi kuishitaki serikali kwamba haijakubali kutekeleza lile wananchi wanalotaka. Sasa mbunge wa Ukonga waitara kafanya lipi hapo?
Ninachokiona huyu mbunge labda hana mpango wa kuja tena kuomba kura kwa wananchi, ila anawatengenezea matokeo mabaya chama chake 2020 hata kama wataleta mtu mwingine wananchi hawatakuwa na imani.
Huyo mbunge wa ukonga Kweli wananchi tuliingia mkenge, nimefauatilia bunge tangu limeanza hajawahi kuzungumzia matengenezo ya barabara za jimbo lake. Wananchi tumewatuma wabunge ili watusemee kwa serikali mahitaji yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.