Umejidanganya mkuu....me ustaadh aiseeNaona askri vijana wa kisabato katika uzinduzi wa mahubiri ya UFUNUO WA MATUMAINI kule jijini Mwanza, yaliyoanza 12/5/2018 na yataisha 2/6/2018. Nadhani mleta mada ni msabato mwenzangu, na lengo la uzi lilikuwa kutangaza mkutano. Mleta mada tayari nimekufikishia ujumbe kwa hadhira.