Mbunge wa Ukonga, Chacha Waitara kazi imekushinda

2020 ni ccm kote wao hawachaguliwi wanachukua chao. Hivyo hakuna haja ya kupiga kura 2020 waendelee tu wamalize muda wao wa uchungu!
 
Acheni kutetea ujinga, mbunge ni mjumbe kwenye baraza la madiwani, huko ndiko mafungu ya mitaani yanakotoka.
nae anataka kula humo humo, juzi kati walitengeneza kijipande pale mombasa karibu na UEFA night club huwezi amini ilikaa siku tano tu mashimo yakarudi tena na unaambiwa ilitumika kama milioni kumi na kenda inaumiza sana
 
Kwani vikao ndio vilimpa Ubunge?
sisi ndo tulifanya vikao vilivyopelekea huyo jamaa kupata ubunge, nakuhakikishia kuwa waitara hawezi kuwa mbunge wa ukonga 2020......nitakukumbusha haya maneno
 
Umezungumza vyema, baadae sogea panda za Big Johns upooze koo
ha ha ha ha ha ha chief hayo ni maeneo yangu sana sema siku hizi wanoko wanasurvey sana maeneo hayo inaonekana kuna biashara zisizo za kawaida zinaendelea...nasubiri yule wa JAVA afungue
 
..sidhani kama Waitara ni kati ya ma-radical wa Chadema wenye kawaida ya kutoa "mapovu" bungeni.

..ushauri wangu ni nyinyi wapiga kura kukaa na mbunge wenu na kutafuta namna ya kupata fedha za ujenzi wa barabara uliyoitaja.

..umeeleza kwamba mbunge wenu "hana fedha" na anashindwa kwasababu anategemea serekali. Katika mazingira hayo, nyinyi ambao mnajua vyanzo mbadala vya fedha vilipo, inabidi mumshirikishe mbunge wenu ili aweze kufuatilia.

..Tanzania haina sheria ya wapiga kura kumfuta kazi mbunge kabla ya miaka 5. Hivyo mnapaswa kufanya kazi na Waitara, huku mkiendelea na mipango ya kumuondoa 2020.
ushauri mzuri sana huu mkuu....tutaufanyia kazi
 
Kwani wabunge wanajenga barabara!? Hamna madiwani wawasilishe hoja hiyo halmashauri ili DED ambae ndio serikali waiweke kwenye budget? Bungeni mbona kawasilisha yote muhimu killing ana na budget zinavyowasilishwa.!!!? CCM wanajenga uhasama na wapinzani na kuwaona hawastahili ? Barabara kweli zitajengwa? o mnafanyia huko huko basi chukua hizo kura za walevi wenzako mumpe ambae atajenga. Nonsense.
Ila kwa vile umesema ni wa kwenye maeneo ya mataptap na vika




MADIWANI WA HAPA NDO CHADEMA HAO AKINA MWAIPOPO.....

Tuliwahi muita pale uwanjani pub bar( ambapo wewe unasema sehemu ya mataputapu ila mwaipopo alikuja na aliona nguvu ya hao wanywaji)....akaleta ntantalila kibao..

Narudia usipuuze hata siku moja nguvu ya wanywaji ktk kugombea uongozi, hawa wanasumu kali sana...
 
Kazi ya kujenga barabara ni ya serikali, sio ya mbunge, mbunge hakusanyi kodi, uliza ziko wapi 1.51T.

Huyo mbunge wa ukonga Kweli wananchi tuliingia mkenge, nimefauatilia bunge tangu limeanza hajawahi kuzungumzia matengenezo ya barabara za jimbo lake. Wananchi tumewatuma wabunge ili watusemee kwa serikali mahitaji yetu.
 
Siku ilipowadia sisi vijana, bodaboda,madereva bajaji, wazee,akina mama kwa akina baba tulio wengi tulienda na waitara chacha tukiamini kuwa anakuja kuleta ukombozi uliotukuka wa Jimbo la ukonga.
.
,umepokea jimbo likiwa njema kwa sisi wafanyabiashara na kulikuwa hakuna maonevu yoyote.
Sasa mulihitaji ukombozi katika lipi wakati Waitara alipokea Jimbo likiwa katika hali njema?.
 
Waitara ninayemjua mm loooh ni mbahili kuanzia kwenye maisha ya kawaida na kwa mtu baki je itakuwaje?

Siku moja nimemkuta dukani anadai mpaka 500 pambaneni na hali zenu hakuna namna.
 
Ninachokiona huyu mbunge labda hana mpango wa kuja tena kuomba kura kwa wananchi, ila anawatengenezea matokeo mabaya chama chake 2020 hata kama wataleta mtu mwingine wananchi hawatakuwa na imani.
 
.

Sasa mulihitaji ukombozi katika lipi wakati Waitara alipokea Jimbo likiwa katika hali njema?.
kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa wear and tear ya goods...ni wkeli alipokea ktk hali nzuri hivi kwa akili yako hivyo vitu havihitaji marekebisho au hata maintainance ndugu???
 
Mwaipopo JF hayupo. Ila ntamfikishia ujumbe,

Waitara kichwa kigumu yule mzee, aliingia kwa mbwembwe kumbe mbio za sakafuni,

Jacob kisi nae mmmmh
 
Huyu jamaa hafai, ila ni mwiko kuwapa jimbo ccm, ccm ni mkosi kwa Taifa.

Vyama mbadala vichuje vizuri wagombea wamlete mgombea mwingine huyu jamaa hana uwezo naunga mkono hoja.
Kabisaaa, bora tungemuweka Chacha
 
Umeonaeeee, alikuwa analiuza kwa 1b
Naishi naye mtaa mmoja huwa anadai mpaka 500 nilimkuta dukani hata 200 haachi huyu mzeee ana maneno mengi porojooo anapenda pesaa kuzid hao waliomchagua wajiandae kisaikolojia 2020 ameshakusanya pesaaa za kuhonga
 
Naishi naye mtaa mmoja huwa anadai mpaka 500 nilimkuta dukani hata 200 haachi huyu mzeee ana maneno mengi porojooo anapenda pesaa kuzid hao waliomchagua wajiandae kisaikolojia 2020 ameshakusanya pesaaa za kuhonga
Aysee,
 
Back
Top Bottom