Recent content by KAMBOTA

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kifalsafa Magufuli anataka Tanzania ya aina gani?

    Mwalimu Nyerere alitaka Tanzania ijitegemee, Mwinyi alitaka ubepari wenye kulinda tunu za kitanzania, Mkapa alisimamia uchumi unategemea uwekezaji na ubinafsishaji, Kikwete alisimamia Tanzania yenye demokrasia ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, sasa Magufuli anasimamia falsafa gani? nauliza hivi...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Mohamed Said; Mwanahistoria au Mtetezi?

    Namwita hapa jamvini ndugu Mohamed Said, nimesoma maandiko kadhaa nikajiridhisha kuwa kitaaluma ni mwanahistoria ila kiuhalisia ni mtetezi wa kundi flani analotaka liwepo kwenye historia, kwa mfano kuhusu Historia ya Tanganyika, hivi kwanini Abdulawaheed Sykes alimwachia Nyerere aongoze chama...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanasifia utendaji wa mgombea urais?

    kwenye kujenga nchi lazima tuambiane ukweli siyo porojo! nashindwa kuelewa propaganda zitaisha lini, hatari sana chama kutumia umaarufu wa mgombea kuhadaa wananchi, kwanza sera zinazouzika, mchezo wa kitoto sana huu kutembelea umaarufu wa mgombea huku chama kikibaki dhoofu bin hali! kwanza kwa...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Nape yaliyotokea Dodoma ni mambo ya jandoni tafadhali yaishie jandoni

    Binafsi navyojua kikao cha dodoma na maamuzi yaliyofikiwa hayapaswi kuwa bakora ya kutambiana na kudhalilishana kwa vijembe vya "tumemkata fulani" , nasema hivi kwa maana kama tahadhari haijachukuliwa kuna hatari ya Magufuli kupata wapinzani ndani ya CCM, Nape na Kinana wanatakiwa wakaripie...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Usikivu wa Kikwete kwa wazee umeleta tija

    Isingekuwa usikivu wa Kikwete kwa wazee Mwinyi, Mkapa, Msekwa bila shaka hali ingekuwa ngumu, lakini mpaka utulivu na furaha inayojionyesha kwa wajumbe Dodoma ni dalili makundi yanaelekea kumalizwa, ni jambo ambalo wachambuzi hawakulitegemea, kwenye taasisi yoyote wazee ni muhimu sana hasa...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Andrew Nyerere; Mwalimu angekuwepo angepinga ufisadi!

    Kuna maswala kadha wa kadha yanayoikabili Tanzania kwa hivi sasa, miongoni mwa mambo haya ni sakata la akaunti ya Tegeta/Escrow, mchakato wa katiba mpya na mengine mengi. Mwandishi Nova Kambota amefanya mahojiano na Andrew Julius Nyerere ambaye ni mtoto wa kwanza wa baba wa taifa hayati Mwalimu...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Go Pinda,nenda tu mzee wangu,mpe fursa JK aunde baraza jipya!

    Na Nova Kambota, 0712- 544237 Tofauti na wengi wanavyodhani, mzee wangu Pinda ulishaonyesha dalili za wazi ikiwa kweli unamudu vyema nafasi ya uwaziri mkuu. Kuna mengi tu yaliyofanya baadhi yetu tutilie shaka umahiri wako lakini hii skandali ya Tegeta/Escrow imefunga mjadala! Unakumbuka...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Wanyonge mkiungana-shairi

    Na Nova Kambota, +255712 544237 Jumapili, 16 Novemba 2014 Dar es salaam, Tanzania. Tano miongo yapita, taifa ladidimia Wengi wameshastuka,dawa wajitafutia Viongozi kadhalika, mali walimbikizia Wanyonge mkiungana, minyororo mtakata Tazama kwenye ramani, utaona hiyo nchi Nchi ya...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mapinduzi ya umma Yataendelea Kushamiri barani Afrika Kuelekea 2030 serikali nyingi za kusin

    Kuelekea 2030 serikali nyingi za kusini mwa jangwa la Sahara zitang'olewa Habari kubwa hivi sasa barani Afrika ni mapinduzi ya umma yaliyofanyika Burkinafaso, makala haya ni mtazamo wangu kuhusu kitakachojiri kusini mwa jangwa la sahara kuelekea 2030, mtazamo huu umejikita katika...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Shairi: Katiba ya Wananchi

    Na Nova Kambota, 0712 -544237, Alhamisi, Novemba 6, 2014 Katiba ya wananchi, mwafaka wa taifa Kuna kucha hakukuchi, isije kuwa maafa Kuandika ya kukidhi,yahitaji maarifa Katiba ya wananchi, nauliza tutapata? Iokoe wakulima, wavuvi na walemavu Uchumi ukue hima, iondoe udumavu Ilinde...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Barua kwako Mzee Joseph Sinde Warioba

    Na Nova Kambota, Jumatatu Novemba 3, 2014 Shikamoo mzee wangu Warioba na pole sana kwa masaibu yaliyokukuta jana . Mimi mjukuu wako pasi na shaka ukiangalia kwenye diary yako utanikumbuka kwani niliwahi "kukutupia" swali moja pale chuo kikuu Mzumbe siku ya tarehe 16 mwezi Novemba 2011...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Rais Guy Scott wa Zambia; jaribio lingine kwa wahafidhina wa Afrika

    Rais Guy Scott wa Zambia akiwa na Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe Alipochaguliwa Barack Obama kuwa rais wa taifa kubwa zaidi duniani Marekani, waafrika walifurahishwa na hali hiyo huku wakichagiza kuwa hiyo ilikuwa ni silaha dhidi ya ubaguzi kwa waafrika. Obama ambaye ana asili ya Kenya...
  13. K

    JamiiForums Tanzania 69 years of the united nations (UN)

    Dar es salaam, Tanzania, Friday 24th Oct 2014, United Nations General Assembly professed 24 October In 1947, the anniversary of the Charter of the United Nations. UN Day results the anniversary of the access into force in 1945 of the UN Charter with the approval of this founding document by...
  14. K

    JamiiForums Tanzania CCM ina ubavu wa kupingana na fikra za Nyerere, Jumbe kuhusu TANU na ASP?

    Pengine acha nikubaliane na wale "maadui" wa muungano wanaodai kuwa Aboud Jumbe alifanya kosa kubwa la kihistoria kumkubalia Nyerere kuunganisha TANU na ASP, hawa wako wengi , ikiwa kweli wameliona hili nangoja wafanye yafuatayo; (a) Wazungumze bila kificho kuwa misingi ya TANU na ASP haikuwa...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Adolf Hitler ; Kwanini Uingereza na Ufaransa zitabeba dhambi hii milele?

    Na Nova Kambota, Jumatano, 26 June 2013 “Unless not later than 11 a.m , British summer time , today September 3rd ,satisfactory assurances have been given by the German government and have reached His Majesty’s Government in London, a state of war will exist between the two countries...
Back
Top Bottom