Recent content by Kambi Popote

  1. K

    African bid for Kenya trials deferral fails at U.N. Security Council

    NIMEFURAHI SANA OMBI LA VIONGOZI WA KENYA KUFUTIWA MASHTAKA ICC LIMEKWAMA SAFI SANAAAA:tonguez::tonguez: ========================================================================================================= UN REJECTS BID TO STOP UHURU RUTO ICC CASES By NATION TEAM...
  2. K

    Kenya yataka nchi za Africa zisuse mkutano ujao wa Commonwealth...

    Hatutasusia uhalifu wafanye wao sasa hivi wanalialia nalizima tuwapeleke icc, mheshimiwa kikwete kamata jet nenda kahudhurie
  3. K

    President Jakaya Kikwete warns East African neighbours against sidelining Tanzania!!!

    Kifupi tz hatuhitaji ushirikiano ili kuwafurahisha watu fulani kama hauna manufaa hatutaki kushirikiana iwe kenya uganda mnaeza kwenda zenu
  4. K

    "Maybe It's Time to Talk to Your Armed Opposition" - Ugandan Yoweri Museveni Tells Rwandan Kagame!

    kagame & museveni wote nimadikteka katika kanda hii afrika mashariki na uongozi wao ni wakizamani sana.:A S tongue:
  5. K

    M23 vs FARDC (DRC CONGO) Mapigano yaanza upya

    BIG UP JWTZ HIYO NI BAADA YA KICHAPO KIKALI CHA MAKOMANDOO WA UN TOKA TZ:smile-big: NA BADO Source: Breaking News! M23 leader Bertrand Bisiimwa has surrendered to Ugandan security - wavuti.com
  6. K

    Tanzania you have overestimated your importance

    Makenya mengi yanawivu sana na Taifa kubwa TANZANIA najumuia yao ya kinafki hawana lolote umaskini unawasumbua
  7. K

    Waafrika milioni 200 wanalala na njaa kila siku

    Itakuwa wamekatika mikono na ni vipofu hawazioni fursa
  8. K

    Rwanda yalalamikia Marekani kwa vikwazo

    Good vikwazo vianze mara moja ikibidi viongezwe, baadae tuwachape
  9. K

    The Legacy of Mwalimu Nyerere: The Lesson for Africa's New Generation

    Kwa kawaida binaadamu anapofariki hata kama alikuwa muovu lazima atapambwa sifa feki. Kwa huyu hayati Nyerere sifa za kipumbavu zinazidi mpaka kero. Andikeni na mabaya yake tena yapo mengi kuliko sifa.
  10. K

    AU yakataa viongozi wake walioko madarakani kushtakiwa ICC!

    AU imeonyesha udhaifu mkubwa kwa kuwakingia kifua viongazi wahalifu kwa propaganda dhaifu ya waafrica kuonewa. Kimsingi wanawapa muda zaidi madikteka kuendelea kukandamiza wananchi wao
  11. K

    A reason why one visa for tourists is not an option for Tanzania

    Hamna lolote we kibaraka wakifikra
  12. K

    Deportations affect Tanzania-born East Africans

    Iwe wakenya warwanda uganda warudi kwao
  13. K

    Nimeanza kujifunza uchawi!!!

    Kwani kozi ya kuingia benk nakuangalia mpaka unafunga wenyewe ada mnalipa bei gani? pls..
Back
Top Bottom