Tanzania you have overestimated your importance

Tanzania you have overestimated your importance

Status
Not open for further replies.
Najua wengi wataruka kuniambia vile Kiswahili changu ni kibovu which is allowed.Unajua kwa vita Mtu utumia the best weapon ako nayo.Mimi ni Mgeni katika hii forum but I am shocked with the level of group think and misconceptions Tanzanians have concerning Kenya
1) Dhana potevu ya Kwanza- Ati kenya inategemea Tanzania kwa utali na bila Tanzania kenya itaumia Ukweli Tanzania haiko top ten ya African countries destinations for tourists. Kenya ni namba sita ikifwatiwa na Uganda

U must get shocked coz we're Tanzanians by nationality with strong sense of feelings of love to our country supported by our perspectives and attitudes which are contrary to u'res,upoo!!!
 
Nenda ukanye kwanza then uje,Nyie wa kenya mna wivu sana na Tz pamoja na baba yenu dictator M7,mnapenda kutukomoa yaani hata mlima kilimanjaro mnautamani sana...,wabaguzi sana huko kwenu(tribalism) mnauhaba wa ardhi,Nchi yenu kaskazini jangwa..mna njaa hadi mnakuja kuomba msaada TZ,mkipigana vita sisi ndo tuna solve na wakimbizi wenu wanakuja TZ but still Yuo and PK ni Cowards what you have aimed to do is to affect Tanzania economy what do you expect?Tuingie tu kwenye economic intergration ambayo mmejipanga kututoa kafara?We know ,You need our land !!Hampati OUR LAND IS OUR LAND

Kabisa!!!ak.a.nye tena u.ha.ro
 
Thick headed guy.Ulifurahia sana ati watu walifariki.Nyie mkuo na roho chafu ya ndani You are Bogus!
Heri kuwa na roho chafu kuliko kuwa na roho ya mauaji ambayo ndiyo inayo watafuna kenya, hamna haya nyie hata Mungu hamumuogopi kiasi cha kuchoma watu wakiwa wana abudu makanisani ni roho gan hizo,leo hii mnasimama nakutaka mjifanye wazur na wasafi na kututuhumu sisi roho mbaya!!shame on u!!
 
Najua wengi wataruka kuniambia vile Kiswahili changu ni kibovu which is allowed.Unajua kwa vita Mtu utumia the best weapon ako nayo.Mimi ni Mgeni katika hii forum but I am shocked with the level of group think and misconceptions Tanzanians have concerning Kenya
1) Dhana potevu ya Kwanza- Ati kenya inategemea Tanzania kwa utali na bila Tanzania kenya itaumia Ukweli Tanzania haiko top ten ya African countries destinations for tourists. Kenya ni namba sita ikifwatiwa na Uganda

Aisee chalii ujakati tamaa kuifuatilia tz.
 
Makenya mengi yanawivu sana na Taifa kubwa TANZANIA najumuia yao ya kinafki hawana lolote umaskini unawasumbua
 
ahaha hivi kwanza huyu katoka wapi huku?...embu ngoja tumfanyie mishe mishe apigwe ban mara moja
 
Najua wengi wataruka kuniambia vile Kiswahili changu ni kibovu which is allowed.Unajua kwa vita Mtu utumia the best weapon ako nayo.Mimi ni Mgeni katika hii forum but I am shocked with the level of group think and misconceptions Tanzanians have concerning Kenya
1) Dhana potevu ya Kwanza- Ati kenya inategemea Tanzania kwa utali na bila Tanzania kenya itaumia Ukweli Tanzania haiko top ten ya African countries destinations for tourists. Kenya ni namba sita ikifwatiwa na Uganda
Thank you... ila habari haina kichwa wala miguu
 
Kwani wewe ni Tajiri yupi?You are a capitalist country na hakuna kitu kama communal wealth! Mali ni yako,Mke na watoto. Sorry but i tend to despise watu kama nyinyi who don't have brains and start bragging of materiality they don't own Bure Kabisa!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom