Hii ni kweli kabisa. Kama Kigoma Malima aliuliwa London UK unadhani watashindwa kumuua Zitto Dodoma? Halafu siku hizi wana viyu vya kukuondoa after 2months....taratibu
Hivi humu JF kuna mtu ambaye habaru zake hamuna?
Naamini kuwa JF ni branch ya TISS. Haiwezekani mkawa na ao much data na zingine za ndani kuliko hata hao wanaofanya naye kazi.
Lakini na mimi naweza kuongezea tuu kuwa huyu jamaa sifa yake nyingine ni ambitious. Sitoshangaa kusikia kampindua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.