Recent content by kamarah

  1. K

    Putin: Kama Ulaya inataka vita na Urusi tupo tear ata sasa

    Hivi unadhani ni msaada gani Ukraine hajapewa? Urusi ni dude kuuubwa, that's why Trump anapiga mkwara alafu baadae ananywea mwenyewe
  2. K

    Tunauza na kubadili housing za laptop na vioo

    Mbona namba uloweka haipatkan
  3. K

    Mipango ya siri ya Serikali inavuja sana, nini shida?

    Nimemkumbuka le camanda wakuitwa Laurent Nkunda kutoka Bakongo hapo
  4. K

    Ayatollah Ali Khomen: Kipigo tulichompiga Israel hatathubutu tena kugusa Iran

    Command madevu ye anajua kushusha mvua tu ya makombola
  5. K

    KERO Shida ya maji Ruangwa imezidi sasa

    Kijana kuwa na subira, Kuna miradi mkubwa wa maji ya kutoka chanzo Cha Nyangao, mradi huu ukikàmilika utahudumia kata za njiani za Malolo, Nandagala,Mnacho, Chienjele, Nkowe , Likunja na kata zote za mjini(kata za Ruangwa na Nachingwea), na vijiji baadhi vya wilaya ya Nachingwea mfano baadhi ya...
  6. K

    Ushuhuda wa kweli na habari njema kwa taifa la Tanzania

    Hilo tukio lilitokea Block gani pale humanities?
  7. K

    Mateka wa Israel wote wako nyumbani

    Israel ilikuwa overrated sana kuliko uhalisia, Hakuna intelligence Kali Wala Nini ila wanawatumia vibaraka tu kitu ambacho Kwa Gaza kilikosekana, wakafanikiwa objective ya kuacha magofu tu ila the rest wamefeli, na Sana sana imeongeza chuki Dunia nzima na maadui nchi jirani
Back
Top Bottom