Mipango ya siri ya Serikali inavuja sana, nini shida?

Mipango ya siri ya Serikali inavuja sana, nini shida?

Kama Ile picha ya ramani ambayo mdau humu JF alisema 29/10 wakienda kupambana na watu barabarani au kwenye vituo vya kura wao wanaenda kushambulia maeneo hayo nyeti?
Ebu niione hio ramani, isee kitapikwa kitu cha pilau na kachumbari sufuria kubwa unaandamana weee njaa ikiuma unawahi kwenda kula pilau na maji ndoo moja ya lita 5,
 
Kuanzia wiki mbili hizi Kasi ya uvujaji wa nyaraka za serikali imekuwa kubwa sana ,tunadhani nini shida?

Kinachoniogopesha zaidi ni huu uvujaji horela wa nyaraka zinazohusu mambo ya msingi yakitaifa hasa kwenye eneo la ulinzi na usalama .

Nawaza ikiwa hizi nyaraka zitafika mikononi mwa maadui zetu , nini itakuwa hatima yetu kama Taifa?

Nikweli tunamtifuano wa wenyewe kwa wenyewe ila serikali ongezeni udhibiti kwenye eneo la nyaraka ngumu kabla file la udhaifu wetu halijadondokea kwenye mikono ya adui.
Anayetakiwa kufanya hivyo ameshindwa na ameamia utekaji ndiyo mbinu,pekee je mambo makubwa ya kitaifa itakuwaje?
 
Ile haikuwa shida kubwa ,shida ni mfumo mzima wa ulinzi utakaotumika kulinda maeneo yakimkakati kuwekwa hadharani tena kwenye nyakati ngumu kama hizi dah! Nihatari ikiwa adui akaja kuubaini udhaifu wetu.
Labda wamevujisha FAMBA ili watu wauvae mkenge lakini yenyewe halisi ipo haijavuja
 
Kama Ile picha ya ramani ambayo mdau humu JF alisema 29/10 wakienda kupambana na watu barabarani au kwenye vituo vya kura wao wanaenda kushambulia maeneo hayo nyeti?
Naiomba hata pm
 
Kuanzia wiki mbili hizi Kasi ya uvujaji wa nyaraka za serikali imekuwa kubwa sana ,tunadhani nini shida?

Kinachoniogopesha zaidi ni huu uvujaji horela wa nyaraka zinazohusu mambo ya msingi yakitaifa hasa kwenye eneo la ulinzi na usalama .

Nawaza ikiwa hizi nyaraka zitafika mikononi mwa maadui zetu , nini itakuwa hatima yetu kama Taifa?

Nikweli tunamtifuano wa wenyewe kwa wenyewe ila serikali ongezeni udhibiti kwenye eneo la nyaraka ngumu kabla file la udhaifu wetu halijadondokea kwenye mikono ya adui.
Ungesema na nyaraka gani imevuja ili tukomment chochote cha kusaidi.
 
Tulishaangukaga Kitambo Sana wachache ndio waliubeba mzigo na kugeuka egemeo ila kwa Sasa wenye ngozi ngumu hawapo.

Kazi ya Usalama imegeuka kazi ya kuchomana.
 
Kuanzia wiki mbili hizi Kasi ya uvujaji wa nyaraka za serikali imekuwa kubwa sana ,tunadhani nini shida?

Kinachoniogopesha zaidi ni huu uvujaji horela wa nyaraka zinazohusu mambo ya msingi yakitaifa hasa kwenye eneo la ulinzi na usalama .

Nawaza ikiwa hizi nyaraka zitafika mikononi mwa maadui zetu , nini itakuwa hatima yetu kama Taifa?

Nikweli tunamtifuano wa wenyewe kwa wenyewe ila serikali ongezeni udhibiti kwenye eneo la nyaraka ngumu kabla file la udhaifu wetu halijadondokea kwenye mikono ya adui.
 

Attachments

  • IMG-20250615-WA0033.jpg
    IMG-20250615-WA0033.jpg
    32.6 KB · Views: 14
Back
Top Bottom