Luca Paguro
JF-Expert Member
- Mar 26, 2023
- 477
- 1,068
- Thread starter
- #21
Hata mimi nikijaribu kuwaza hapa sipati jibu. Walichimba wapi hivyo visima? Hii habari sijawahi kuisikiaHuu ni uongo hivyo visima vilichimbwa wapi kwanza tuanzie hapo?
Hata mimi nikijaribu kuwaza hapa sipati jibu. Walichimba wapi hivyo visima? Hii habari sijawahi kuisikiaHuu ni uongo hivyo visima vilichimbwa wapi kwanza tuanzie hapo?
Mabango makubwa yapo tayari. Huku kuna kila size ya bango, nyumba za watu masikini wamebandika kazi na utu kwenye milango na kuta za nyumba zao za udongo. Taa za barabarani, majengo ya watu kila kona kuna mabango ya kutosha ya size tofauti tofautiHapo bora wangeprint bango moja kubwa.
Kwa ruangwa mjini kilichobaki maji na flyover bc😂😂😂😂😂Duh... Kama wameshaanza mradi basi waumalizie tu, maji yatufikie. Viongozi wasije wakala pesa za mradi halafu sisi tukaendelea kuteseka tu, hali si shwari kabisa.
Maana mimi Ruangwa mjini sioni changamoto nyingine tofauti na maji. Walete maji jamani, hizi pesa za huu mradi mafisadi waziache tu, chonde chonde 😥
Aweso na CCM yote wamefeli kwenye issue ya maji japo wanajisifu eti wamemtua mwanamke ndoo kichwani. Labda wanamaanisha wamemtwika. Hilo ni tatizo kwenye miji yote ya hii nchi ya Samia. Kwenye kila mji, huwa kunakuwepo ka kikundi kadogo ka wakazi (wakiwemo viongozi wa serikali na vigogo wengine) ambao wanapata maji muda wote. Halafu wanatumia takwimu za hao wachache kutudanganya kuwa hakuna shida ya maji.Ruangwa tuna shida kubwa ya maji. Mimi nimezaliwa hapa nimekulia hapa hadi leo hii nakaribia umri wa miaka 20 miaka yote hapa tuna shida ya maji tu, tangu niko mdogo tunateseka na shida ya maji hadi leo hii bado tunaendelea kuteseka. Nothing is getting better
Huku maji yanatoka mara moja kwa wiki, yakijitahidi sana mara mbili. Na kutoka kwake yanatoka kwa saa 1 tu halafu yanakata. Kwa wiki nzuri tukibahatika maji yanatoka kwa masaa mawili.
Maana yake hata tank halijai, maji ya tank yanaisha mnabaki hamna maji. Siku nyingine yanatoka maji machafu bombani yanakuwa na rangi nyekundu kana kwamba yamechanganyika na udongo, siku nyingine pia yanatoka kwa spidi ndogo mno hata kwenye tank hayapandi
Maji yenyewe ya chumvi halafu wanabania, yanatoka saa 1 kwa wiki. Bila kisima hutoboi
Nyinyi watu mnaohusika na usambazaji wa maji Ruangwa, leteni maji hata mara tatu kwa wiki, kila siku yatoke masaa mawili mawili basi tupate walau masaa 6 kwa wiki. Maana tunateseka sana wakazi wa haka kamji
😂😂 Ni kweli sisi maji ndo yanatuharibia, maana haka ni kamji kadogo ila hakana changamoto nyingiKwa ruangwa mjini kilichobaki maji na flyover bc😂😂😂😂😂
Advance nimesoma Mbeya, kule hakukuwa na shida ya majiAweso na CCM yote wamefeli kwenye issue ya maji japo wanajisifu eti wamemtua mwanamke ndoo kichwani. Labda wanamaanisha wamemtwika. Hilo ni tatizo kwenye miji yote ya hii nchi ya Samia. Kwenye kila mji, huwa kunakuwepo ka kikundi kadogo ka wakazi (wakiwemo viongozi wa serikali na vigogo wengine) ambao wanapata maji muda wote. Halafu wanatumia takwimu za hao wachache kutudanganya kuwa hakuna shida ya maji.
Kumbe hapo Nandagala karibu tu kuna maji. Sasa huku kwetu shida nini 😥Pole sana,hamia pale kijiji cha Nandagala kuna ukuta mkubwa juu ya kilima mule maji 24/7 kwa nini uteseke.
Pale kwa mheshimiwa. Atapigwa risasiPole sana,hamia pale kijiji cha Nandagala kuna ukuta mkubwa juu ya kilima mule maji 24/7 kwa nini uteseke.
Halafu sikumuelewa kumbe anamaanisha nyumba ya Majaliwa 😂Pale kwa mheshimiwa. Atapigwa risasi
Familia inafanya kazi Ruangwa mjini, hatuwezi kuhamia LikunjaLuca Paguro sogea maeneo ya Likunja, pale Kuna kisima Cha MAJI baridi ambacho hakikauki through the year.
Alberto alizingua mwenyewe alikuwa na wivu wa kijinga, pale bila kumsnitch maana yake Giulia angejua na mimi ni sea monster 😅Pole sana Luca Paguro, Ila wewe ni snitch ulimkataa mwanao baada ya kubadilika kwenye maji kisa demu, 😅😅
Barabara hii ni nachingwea to kilanjelanje mkeka tupu hiyo ukifika nanjilinji pale mto mbwemkulu wachina wanakesha wanajenga daraja kubwa sana😂😂 Ni kweli sisi maji ndo yanatuharibia, maana haka ni kamji kadogo ila hakana changamoto nyingi
Umeme haukatiki sana, shule hazikuwepo sasahivi zimejaa tele, barabara kila mtaa wameweka lami na taa za barabarani, na bado wanaendelea kujenga barabara. Kuna uwanja wa mpira, wamejenga hospitali nzuri, Internet mitandao yote inashika 4G vizuri sana, watu wanaongezeka na sasahivi nimeanza kuona kidogo watu wameanza kujenga nyumba nzuri
Wanajenga lami kwenda moja kwa moja hadi Nachingwe sasahivi. Inatoka Nachingwea hadi hapa Ruangwa na inaendelea hadi kwenda njia ya Mbekenyera. Hii barabara inaendelea na ujenzi niliipiga picha juziView attachment 3489224View attachment 3489227