Recent content by Kalu20

  1. Kalu20

    Naomba kuelimishwa juu ya GS1 TZ

    Ni kweli kabisa @ Mashimba son
  2. Kalu20

    Naomba kuelimishwa juu ya GS1 TZ

    Wadau salamu. Naomba kuelimishwa juu ya GS1 TZ na kwann inatoa huduma zake ( Barcode) kwa gharama kubwa kuliko GS1 Kenya!
  3. Kalu20

    Siku ya kwanza kupigwa ban ulijisikiaje?

    Mm nnasoma tu ila namngoja MBITIYAZA akimaliza Ban aje atuambie
  4. Kalu20

    Biashara nyingi zinafungwa Mwanza Serikali ichunguze tatizo

    Jaman sio Mwanza pekee ni nchi nzima kwa sababu zifuatazo; 1. Gharama kubwa za uendeshaji zikijumuisha kodi kubwa, faini pamoja na makosa mbali mbali toka kwa wasimamizi wa mamlaka husika-TRA. Wakati mwingine faini haziendan na biashara, mtaji wa milion 2 unapigwa faini ya milion 5! Hili...
  5. Kalu20

    Tujuzane sehemu za bata zinazobamba kwa sasa Dar

    Nani yuko 40/40 Tabata sasa hv tujuzane tuzungushe round
  6. Kalu20

    Kwanini Mwanamke asipojua kuosha Mwiko, Sufuria na Mchi huwa anadharaulika?

    Ndipo yalipo makao makuu ya Wizara ya Ndoa na furaha katika NDOA sasa kama hajui atapawekaje safi ili wanandoa waifurahie wizara tajwa?
  7. Kalu20

    Jana nimehudhuria Bachelor party ya mtu, sijaamini nilichokiona

    Haya bwana ndio ushenzi wa mjini!!!!!
  8. Kalu20

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Rushwa ndio imeingezeka sema haipigwi waz waz!!!! Mm ndo nakwambia na urasimu ni wa kutosha kama unabisha nenda TRA UONE WANAVYOONEA WAFANYA BIASHARA!!!
  9. Kalu20

    Huyu mdudu anaitwaje?

    Anaitwa CCM
  10. Kalu20

    Tuliosoma Musoma Tech: Nimepamiss 'SELENA'

    Nilikuwa EGM, NAOMBA NAMBA ZAO MKUU NI PM
  11. Kalu20

    Kombinesheni ipi ya wachezaji unaikubali katika soka?

    Kwa sasa Firmino, Mane na Salah ndo habar ya Tv
  12. Kalu20

    Tuliosoma Musoma Tech: Nimepamiss 'SELENA'

    Kamdundo ns kapu wako wapi jaman???? Bado Mahizo na wengineo missing U mates
  13. Kalu20

    Kwa mahitaji ya nyumba au chumba cha kupanga Mwenge, Sinza, M/nyamala na Mbezi

    Nahitaji chumba ki1 self maeneo ya Jet had Buza
  14. Kalu20

    Kwaheri Tanzania, nahamia Zambia kodi katika biashara imeniondoa nchini

    Sio leseni 7 tu inategemeana na biashara. Anza kusindika Maziwa uone utalipa 17! Yaaan ni shiida biashara nchi hiiii
  15. Kalu20

    Tunatengeneza na kuuza viatu vya ngozi kwa bei nafuu

    Nnauhitaj pair 1! Niko Dar. Njoo PM tufanye biashara
Back
Top Bottom