Huyu Boniface kwanza sio Meya wa Ubungo ni Meya aliyefukuzwa!
Umeya sio cheo cha Maisha!
Ubungo aliyewekewa Pingamizi ni pamoja na Act Ccm imeiwekea Act Pingamizi na Chadema
Chadema imeiwekea CCM pingamizi wakidai Kitila fomu zake hakugonga mihuri miwili wa mahakama na mhuri wa Hakimu!
Mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.