Recent content by Kallebezo

  1. K

    John Heche ni zaidi ya Ibrahim Traoré

    Kwa lipi? usanii wa majukwaani? Acheni kufananisha miamba na wachumia tumbo kama kina Heche
  2. K

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hii chai ya Rozela
  3. K

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nashukuru hivi unakumbuka siku hiyo Tulinyanduana pekupeku!! Ila wewe mtamuuuuu
  4. K

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nipe connection ya huyo mdogo wake
  5. K

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Sasa hapo hamkuharibu masharti ya dawa? Duuuuh
  6. K

    Visa nilivyoshuhudia kwa ndugu yangu Mtaalam wa Tiba za Asili

    Hii kiboko uchawi upo tena sana tu
  7. K

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hii isiyotarajiwa tamu sana kiukweli
  8. K

    GE2020 Jimbo la Ubungo: ACT-Wazalendo yadaiwa kumuwekea pingamizi Meya Jacob na madiwani wote wa CHADEMA

    Huyu Boniface kwanza sio Meya wa Ubungo ni Meya aliyefukuzwa! Umeya sio cheo cha Maisha! Ubungo aliyewekewa Pingamizi ni pamoja na Act Ccm imeiwekea Act Pingamizi na Chadema Chadema imeiwekea CCM pingamizi wakidai Kitila fomu zake hakugonga mihuri miwili wa mahakama na mhuri wa Hakimu! Mbona...
  9. K

    Ni magari gani manne (4) utanunua endapo utakuwa na uwezo?

    109 Landrover 110 Lsndrover Toyota Mark Two
  10. K

    Watuhumiwa wa biashara kongwe zaidi duniani waanikwa

    Kijo Bisimba na wanaharakati wenzake wapo wapi? Askofu Bagonza yupo wapi?
  11. K

    Umbumbumbu wa Sheria umemponza Lissu

    Sheria ni msumemo acha ukate kotekote
  12. K

    Mfanyabiashara Raphael O. Ongangi atekwa na watu wasiojulikana! Ni aliyekuwa Msaidizi wa Zitto

    Zitto hujivunia uchawi hebu tuuone sasa hapo. Halafu hii propaganda ya kijinga unatekaje house boy badala ya mwenye nyumba?
  13. K

    Nyalandu aendeleza moto

    Mara oooh hakuna demokrasia mara tumebinywa kufanya siasa na hapo Nyalandu anafanyia Chumbani kwake?
Back
Top Bottom