Nyalandu aendeleza moto

Nyalandu aendeleza moto

Huyo ana hasira za mkizi. Kakosa nafasi ya uwaziri. Watu wake wa vitalu vya uwindaji wamepigwa chini. Ndio maana unaona anafanya harakati za hasira na aio za mahaba. Kina lema na kina sugu wenyewe walishaachana na harakati hizo. Kina mnyika wote hata hawatoi matamko. Huyo joto likishuka atapoa na kurudi ccm akisema chadema kila mtu ni kambale.
uongo utakusaidia nini ?
 
Maisha yanaenda kasi sana. Akirudi chumbani anaanza kulia. Kutoka Waziri Wa Maliasili na Utalii mpaka mtembezi Wa mtaani akinadi fulana za bavicha!

Mwenzio ni bilionea huyo....we endelea kumponda wakati unashindilia ugali na maharage!
 
Sijui, labla ni mawazo yangu tu. Lakini naona kama kuna siku Nyalandu atajitoa Chadema au hata kurudi CCM tena kama walivyofanya Lowassa na Masha.
Wacha kumfananisha Nyalandu na mambo ya kijinga
 
Mara oooh hakuna demokrasia mara tumebinywa kufanya siasa na hapo Nyalandu anafanyia Chumbani kwake?
 
Back
Top Bottom