Kikwete alikosea sana. yeye ni raisi, lazima aache kuchukua hatua za kibaguzi na kukiuka haki za binadamu, Sitta ni mwanasheria, anajua anachokisema, Kikwete ni mchumi hajui sharia na haki za binadamu. Ame-commit crime ya ethnic cleansing, nadhani Kikwete anastahili kupelekwa the Hague...