Kikwete anamwogopa Sitta?

Kikwete anamwogopa Sitta?

Vizuri hajakubaliana na unazi dhahiri wa serikali ya ccm.
 
Ni mara nyingi sana Sitta amekuwa akipingana na msimamo wa serikali ambayo yeye ni mmoja wa viongozi wake waandamizi. Amekuwa akifanya hivyo openly kabisa kwa kwenda kwenye vyombo vya habari na kuipinga na kuikosoa serikali.
Hivi karibuni Amiri Jeshi Mkuu, ambaye pia ndiye rais wa nchi ameagiza wahamiaji haramu waondolewe hapa nchini. Naamini hili limefanikiwa vizuri sana. Ajabu anatokeza mheshimiwa Sitta na kulikosoa zoezi lililoanzishwa na Boss wake mbele ya vyombo vya habari! Si mara ya kwanza wala ya pili bali ni mara ya kumi sasa akiwa tofauti na msimamo wa serikali na pia chama chake. Iliwahi kutolewa hoja na kina Mgeha kuwa Sitta afukuzwe uanachama, lakini hii hoja haikushika kasi na bado Kikwete ameendelea kumkumbatia. Kwa kweli sijajua mantiki ya kuwa na kiongozi kama Sitta kwenye baraza la mawaziri. Ningelikuwa Kikwete ningeisha mtema siku nyingi sana! Anaidhoofisha sana taasisi ya uwajibikaji wa pamoja. Pia anaidhoofisha sana taasisi ya Urais. Hili Kikwete halioni?[/QUOT


uwajibikaji wa pamoja kwenye nchi maskini isiyo na uwazi wala tamaduni ya uwajibikaji kwenye utawala ni kulindana ambapo ni kitu kibaya zaidi..we might indeed need more Sittas in this cabinet
 
kukosoa kivipi? yeye nadhani kaboresha kusema hata kama watu wahamiswe basi haki za binadamu zifatwe! mimi mwenyewe naunga mkono zoezi tena sana tulizidi kukabwa njiani kahama kwenda bukoba ila watu wapewe heshima
 
Kikwete alikosea sana. yeye ni raisi, lazima aache kuchukua hatua za kibaguzi na kukiuka haki za binadamu, Sitta ni mwanasheria, anajua anachokisema, Kikwete ni mchumi hajui sharia na haki za binadamu. Ame-commit crime ya ethnic cleansing, nadhani Kikwete anastahili kupelekwa the Hague! Kutenganisha familia, kuendesha dhuruma, kuwangoa watu kwenye mali zao, kuwaita majina ya kudhalilisha ya wahamiaji haramu. God listen to the cries of vicitms of Kikwete!
Ni mara nyingi sana Sitta amekuwa akipingana na msimamo wa serikali ambayo yeye ni mmoja wa viongozi wake waandamizi. Amekuwa akifanya hivyo openly kabisa kwa kwenda kwenye vyombo vya habari na kuipinga na kuikosoa serikali.
Hivi karibuni Amiri Jeshi Mkuu, ambaye pia ndiye rais wa nchi ameagiza wahamiaji haramu waondolewe hapa nchini. Naamini hili limefanikiwa vizuri sana. Ajabu anatokeza mheshimiwa Sitta na kulikosoa zoezi lililoanzishwa na Boss wake mbele ya vyombo vya habari! Si mara ya kwanza wala ya pili bali ni mara ya kumi sasa akiwa tofauti na msimamo wa serikali na pia chama chake. Iliwahi kutolewa hoja na kina Mgeha kuwa Sitta afukuzwe uanachama, lakini hii hoja haikushika kasi na bado Kikwete ameendelea kumkumbatia. Kwa kweli sijajua mantiki ya kuwa na kiongozi kama Sitta kwenye baraza la mawaziri. Ningelikuwa Kikwete ningeisha mtema siku nyingi sana! Anaidhoofisha sana taasisi ya uwajibikaji wa pamoja. Pia anaidhoofisha sana taasisi ya Urais. Hili Kikwete halioni?
 
Mpaka hapo naendelea kuwahesabu wahamiaji haramu humu JF wakiongozwa na Ruzibiza.
Sita yule ni mhanga aliyejeruhiwa kwa kuukosa uspika bado anaganga majeraha kwa kuamini Kikwete hathubutu Kumtosa.
Hata tamko lake kuhusu Kutengwa Tanzania EAC, kwa Sita nimfahamuvyo limekuwa too low, too diluted. Kikwete piga chini hii kitu acha uoga.

hahahaa..kakangu mbona unirushia tuhuma nzito nzito hivo.....haya mambo ya uharam na uhalali yatatukosanisha ndugu ..tuwe makini.....za siku lakini kaka mkirua


 
Fuatilia News aka Habari
Rais Kikwete amesema hana shida na tatizo na wote wanaopinga Sera za Serikali yake au Yeye Binafsi, kinachomkera ni wale wanaochochea aka wachochezi na wavunjifu wa Amani.
Mengine yooote ni RUKSA. Heeeeheeeee, Kazi Tunayo.



Ni mara nyingi sana Sitta amekuwa akipingana na msimamo wa serikali ambayo yeye ni mmoja wa viongozi wake waandamizi. Amekuwa akifanya hivyo openly kabisa kwa kwenda kwenye vyombo vya habari na kuipinga na kuikosoa serikali.
Hivi karibuni Amiri Jeshi Mkuu, ambaye pia ndiye rais wa nchi ameagiza wahamiaji haramu waondolewe hapa nchini. Naamini hili limefanikiwa vizuri sana. Ajabu anatokeza mheshimiwa Sitta na kulikosoa zoezi lililoanzishwa na Boss wake mbele ya vyombo vya habari! Si mara ya kwanza wala ya pili bali ni mara ya kumi sasa akiwa tofauti na msimamo wa serikali na pia chama chake. Iliwahi kutolewa hoja na kina Mgeha kuwa Sitta afukuzwe uanachama, lakini hii hoja haikushika kasi na bado Kikwete ameendelea kumkumbatia. Kwa kweli sijajua mantiki ya kuwa na kiongozi kama Sitta kwenye baraza la mawaziri. Ningelikuwa Kikwete ningeisha mtema siku nyingi sana! Anaidhoofisha sana taasisi ya uwajibikaji wa pamoja. Pia anaidhoofisha sana taasisi ya Urais. Hili Kikwete halioni?
 
Ni mara nyingi sana Sitta amekuwa akipingana na msimamo wa serikali ambayo yeye ni mmoja wa viongozi wake waandamizi. Amekuwa akifanya hivyo openly kabisa kwa kwenda kwenye vyombo vya habari na kuipinga na kuikosoa serikali.
Hivi karibuni Amiri Jeshi Mkuu, ambaye pia ndiye rais wa nchi ameagiza wahamiaji haramu waondolewe hapa nchini. Naamini hili limefanikiwa vizuri sana. Ajabu anatokeza mheshimiwa Sitta na kulikosoa zoezi lililoanzishwa na Boss wake mbele ya vyombo vya habari! Si mara ya kwanza wala ya pili bali ni mara ya kumi sasa akiwa tofauti na msimamo wa serikali na pia chama chake. Iliwahi kutolewa hoja na kina Mgeha kuwa Sitta afukuzwe uanachama, lakini hii hoja haikushika kasi na bado Kikwete ameendelea kumkumbatia. Kwa kweli sijajua mantiki ya kuwa na kiongozi kama Sitta kwenye baraza la mawaziri. Ningelikuwa Kikwete ningeisha mtema siku nyingi sana! Anaidhoofisha sana taasisi ya uwajibikaji wa pamoja. Pia anaidhoofisha sana taasisi ya Urais. Hili Kikwete halioni?

Ya nini kutafuta sumu ya panya kwa anaejitowa muhanga? JK hataki kuambiwa yy ndio sababu ya kifo cha huyu mzee anaekimbilia ukingoni mwa mlima kwa kutaka watu wamuone.
 
Nakubaliana nawe, collective responsibility katika Baraza la Mawaziri ni paramount kwa serikali inayoongoza nchi. Ukiwamo ndani ya baraza hili ima mulipinge pamoja ndani ya vikao lakini kinachoamuliwa baada ya hapo ni lazima kila waziri awe pamoja na maamuzi ndio ministerial code of conduct inavyowajibisha. huwezi kuwa na serikali inayopingana yenyewe kwa yyenyewe hadharani hio pekee ni kuiweka serikali katika udhaifu. Kama ni kweli kalikosoa zowezi hadharani lilioamriwa na bosi wake na obvious litakuwa limepita katika Baraza la Mawaziri basi ima ajiondoe mwenyewe au mkuu wa nchi azingatie tena faida ya uteuzi wake uunless suala lenyewe likiwa limepewa Baraka za serikali za kutofungama kwa kauli moja kama pale ndani vikao vya bunge kunapotokea kura ambayo serikali ikatoa ruhusa ya uhuru kwa baraza la mawaziri kuwa na msimamo binafsi kwa wanachama.
 
Back
Top Bottom