Recent content by kalikalanje

  1. kalikalanje

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Heche: OCD mimi sio Mke wako, nasema huna chakunifanya hii nchi sio ya Mama zenu

    Hawa ni watu wa kuwatenganisja kichwa na kiwiliwili dip wa kuwapa muda wa kusimama majukuani Samia no mpole sana atupe kazi tumpunguzie matusi kwa kuficha vichwa hivi
  2. kalikalanje

    JamiiForums Tanzania Msaada: Sijalipwa mshahara tangu mwaka 2017 hadi sasa

    Mhhh ama kweli Tanganyika kuna mambo!! Hujalipwa mshahara tokea 2027??? Nahisi uko kidato cha 6 na huko wanafunzi hawalipwi mshahara. Pole sana
  3. kalikalanje

    JamiiForums Tanzania Malikia wa Tanzania anaweza kutembea hivi bila Makomandoo wake?

    Malikia wa wapigaji mnamuhofia nini wakati hajielewi anawazungusha hata viongozi wakuu wa usalama wa taifa Tunamuhitaji huyo ili tuzipate nyeti za yaliyopita tuwapigie misumari kuanzia sasa mpaka 2025
  4. kalikalanje

    JamiiForums Tanzania Emmanuel Tutuba ateuliwa na Rais Samia kuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT)

    Bado Kassim Majaliwa subirini ngojeni baraza la mawaziri livunjwe naye atemwe ila Samia anatupeleka pabaya japo mnashangilia kila teuzi zikifanyika. Hivi hao mgambo wapo tuu wakiangalia haya??
  5. kalikalanje

    JamiiForums Tanzania New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

    Nitakulipia kozi ya kidhungu maana umejitahidi
  6. kalikalanje

    JamiiForums Tanzania Kwanini January Makamba unakataa kutambua nguvu na juhudi za hayati Magufuli kwenye JNPP?

    Samia hata kuwa na legacy yoyote hasa kutambulika na waliosoma bali hao machawa anaowateua kumuhamasishia,,, Miradi yote ya kimkakati kama Reli, Maji, Umeme, Madarasa, Mahospitali, Mabarabara na madaraja vyote vilikuwa ni mipango ya JPM ila Samia atakuwa kama mwanafunzi aliyepasi mitihani kwa...
  7. kalikalanje

    JamiiForums Tanzania Kwanini January Makamba unakataa kutambua nguvu na juhudi za hayati Magufuli kwenye JNPP?

    Na kwa mara ya kwanza leo Samia kamtaja JPM lakini kwa nusu sekunde na wapambe wake wote January na Maharage wamejitahidi sana kutoa maelezo yao ya karibu kurasa 20 bila kuwataja Kambarage na JPM. wana taabu na hata wamejaribu kumpandikiza Kikwete eti alijaribu kutaka kujenga huo mradi na...
  8. kalikalanje

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii ni kwa wanaume wanaonyanyasa wanawake

    It seems to me that you are bored and looking for some chats in JF for companion,,,but mngoni is here!!!
  9. kalikalanje

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii ni kwa wanaume wanaonyanyasa wanawake

    Njoo DM mngoni anakutafuta yuko Manchester!!!!
  10. kalikalanje

    JamiiForums Tanzania Binafsi kuanzia sasa siweki tena pesa benki

    Jeshi au mgambo mlionao??
  11. kalikalanje

    JamiiForums Tanzania Tofauti yetu na Kenya, Malawi au Zambia sio Umasikini ni levo ya ujinga, sisi tuko juu kwa ujinga

    You are damn right Watanzania wako juu saana kulinganisha na nchi kama Kenya, Malawi au Zambia ila mleta mada haelewi kuwa kushinda upinzani ni udhaifu wa chama kilicho madarakani,, Nchi kama Kenya haiwezi kulinganishwa na Tanzania kwa lolote labda mfumo wao wa maisha wa kibabe na wizi wa wazi...
  12. kalikalanje

    JamiiForums Tanzania Binafsi kuanzia sasa siweki tena pesa benki

    Mtu akikuambia ati kupanda kwa hali ya maisha ni kwa ajili ya vita ya Urusi na Ukraine mtemee mate usoni. Tz haikuwa inanunua nafaka toka Ukraine wala mafuta toka Urusi,, Kwani hizo tozo ambazo zimeota kila kona ya maisha ya watz ni kwa ajili ya vita?? Hapana ni kwa ajili ya kuwakandamiza...
  13. kalikalanje

    JamiiForums Tanzania Binafsi kuanzia sasa siweki tena pesa benki

    Sawa mkuu ila wa kumlaumu ni Samia ambaye toka ameingia madarakani ametangaza vita na wananchi masikini akianzia na kuondoa ruzuku ya pembejeo February kabla JPM hajafariki March mfuko wa mbolea ulikuwa Tshs 56 miezi michache baada ya JPM kufariki ikawa Tshs l06k. Samia anayafanya haya kupitia...
  14. kalikalanje

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita tangu Urusi ianze operesheni Ukraine, hizi hapa takwimu ya ilichopoteza

    Unatisha sana kama unaamini ati Urusi hupeleka askari wao waliokufa kwenye kitu meat grinder no way and it is only devious Africans who can such You might be listening a lot from the western media outlets which are full if not wholly lies and propaganda I'm talking from western European country...
  15. kalikalanje

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita tangu Urusi ianze operesheni Ukraine, hizi hapa takwimu ya ilichopoteza

    Unafuatilia propaganda mbovu na huwajui wazungu,,, urusi angepoteza askari 3000 hiyo vita ingekuwa ishasitishwa kwa namna yoyote ile,,, Uhai wa mzungu una thamani kuliko binadamu wengine huo ndiyo ukweli
Back
Top Bottom