Recent content by Kalamzuvendi

  1. K

    Updated List: Haya ndio makabila yenye wasomi zaidi Tanzania

    Hatuna stress watu wa Pwani. Nyie ibeni halafu tupeni sisi hizo hela zenu za Wizi tuwajengee Mahekalu yenu. Sie tukiwa tuna Kuku 10 Bandani wewe una Ng’ombe 10 zizini tunakuona fala tu. Ndio maana mmekuja mjini tumewauzia nyumba zetu za Magomeni, Kariakoo, Ilala halafu sisi haoo Mbagala na...
  2. K

    KERO: Bole International Airport - Addis Ababa

    Hapana ndio ukweli mkuu. Ethiopia sio Ndege ukitaka utulivu wa kusafiri.
  3. K

    Wanawake maofisini ni sawa na "ng'ombe kwenye duka la kichina"

    Utumiaji wa simu muda wa kazi unadidimiza sana utendaji kazini, hiyo sio kwa Wanawake tu, jinsia zote mbili. Ajabu Viongozi wa nchi yetu wanasoma na wapo humu, lkn wala hawashughulikii hilo.
  4. K

    Wanawake maofisini ni sawa na "ng'ombe kwenye duka la kichina"

    ….Ambalo akifukuzwa kazi atakuwa analikata kidogo kidogo limpe Msosi.
  5. K

    Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

    Kama kweli hiyo hali huitaki nenda katibiwe. Nina uhakika wa 100% tatizo lako lina tiba. Niliwahi kuona kwenye TV Ughaibuni huku Mshikaji alikuwa na hali kama yako, Madaktari wakasema ana Homony nyingi za Kike wakamtibia akapona. Sasa Mkuu kama hali ya kuwekwa Dogstyle na wanaume wenzio huipendi...
  6. K

    Wanaweza wasimfanye kitu ila wakamwacha hofu immalize

    Yule Mwanaasha huru yule wampeleke Jela tu akaolewe na kazi ngumu. Huyu Makenika ambae pia ni Dereva huyu auwawe tu aisee. Kwa Imani yangu kuuwa ni Dhambi kubwa, lkn Kwa yule jamaa na auwawe tu ntawaombea Msamaha Kwa Muumba wataomtoa roho. Kwa mujibu wa Wanyamwezi wanasema kadhulumu sana nafsi...
  7. K

    Ukiegesha gari vibaya, faini kwa gari ndogo ni Tsh 200,000 na Tsh 10,000 ni gharama ya gari kulala yard kwa siku moja

    Mkuu wabongo tumekuwa wakimya result yake ndio hii. Wenye Meno wana tufanya dili na kuonewa Kijinga jinga.
  8. K

    Magufuli kwa heri, hukustahili kuwa Rais

    Nazozana nao kila siku uswahilini huku. Ukiwauliza wanakutajia Ndege na shule ya bure!!
  9. K

    Kuna ulazima wa kumridhisha kahaba?

    Dah! [emoji2297][emoji2297][emoji2][emoji2] eti kikatiba. Na katiba imeingia hapo jamani kha! Ila kweli aisee kikatiba mlipaji ndio anatakiwa aridhike.
  10. K

    Usiombee kukosa hela

    Haya bana. Mi wacha nijipigie Show na Kwangu nawaona wana hela. Mwanamke wa Kawaida tu kuwa na Nyumba ya karibu Mill 300 na Usafiri wa karibu Mill 70 huyo ukisema hana Pesa utakuwa una kijiba cha nafsi. All in All mi napiga Show clearly na michone yao. Kilalu wanacho na show inapigika.
  11. K

    Usiombee kukosa hela

    Ndio ninachowafanyia hawa wenzako. Siwapi hata Mbuni na wala hawahitaji kwa mujibu wa maelezo yao. Nalipia tu $50 usiku 1 nakula Nyama. Na huwa nawadinya kwa hasira ***** zao. Mkiwaga na hela mnakuwaga na jeuri mnajifanyaga kuchagua wa kuwapa Papuchi. Mi napewa huku na wenzako wenye Visent vyao...
  12. K

    Usiombee kukosa hela

    Mkuu kusema ukweli nataka kumpiga tafu Mwanaume mwenzangu kidogo. Maana hata sisi wengine huko tulikotoka washkaji tu walitupiga Tafu. Wenye nchi yao wananisumbua sijalipa kodi yao maana nilikuwa huko na Visent nilikuja navyo nimeviingiza kwenye miradi na Mjengo. Ntampiga Jack mwana anivutie...
  13. K

    Usiombee kukosa hela

    Uongo uliopitiliza. Kuna Madada 2 wa kwanza yupo Bank kuu na mwingine yupo CRDB. Huyu wa CRDB ni Boss kabisa na wote hawa wapo vyema ile mbaya, nikijaga Tz full usumbufu kutaka kudinywa, halafu useme mkiwa nazo hampendi Show. Sio kweli, wenzenu kama nyie Shule zimo kichwani hela wanazo na show...
Back
Top Bottom