Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,090
Mkuu ni kweli kabisa, km jana nimeona jamaa wa OilCom wamechukua kijiwe chote, sijui ni mwenge kule eti na gari zote wamepelekwa Polisi kuzuiliwaMama sio mpigaji ila kafungua nchi ili wapigaji waendelee na upigaji
hao Waarabu enzi za Jiwe wasingetamba hata dakika
sasa mwenye nacho na hasa hawa walio ,...........