Recent content by Kakungulume

  1. Kakungulume

    Naona tetemeko limecharuka kupita

    well said
  2. Kakungulume

    Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

    Uchambuzi mujarabu. Nangojea sasa kusoma maoni ya mwandishi niyafanyie kazi. Big up Mr. ONTARIO
  3. Kakungulume

    Mrejesho: Forex ya Ontario

    [emoji14][emoji28][emoji28]
  4. Kakungulume

    Mrejesho: Forex ya Ontario

    Well said[emoji106]
  5. Kakungulume

    Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

    Thanks once again for your response [emoji120]
  6. Kakungulume

    Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

    MWANA WA NGURUMO Ahsante kwa majibu, Trading pair pia inakuwa dictated na mentor?
  7. Kakungulume

    Nani amfafanulie mfalme wetu huyu maandishi? Wachawi wameshindwa!!!

    Watu wakipata mamlaka ya kidunia wanamsahau Mungu. Wanaona wanaweza kufanya lolote hapa duniani bila kumtegemea yeyote.
  8. Kakungulume

    Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

    MWANA WA NGURUMO Nafurahia sana kupata mrejesho kutoka kwa wanufaika wa hii fursa ya Forex. Naomba kukuuliza, katika trading zako =>LOT SIZE ilikuwa constant@0.02 kwa muda wote? =>How many trades were placed at once? Natanguliza shukrani
  9. Kakungulume

    Nani amfafanulie mfalme wetu huyu maandishi? Wachawi wameshindwa!!!

    Mungu akikuinua katika ufalme wako usijikweze ukamsahau na kudharau watu aliowaweka chini yako
  10. Kakungulume

    Kuteuliwa Juliana Shonza si tu body shock kwa CHADEMA, bali ni soni

    Mabingwa wa kukosoa wanapinga kila kitu.., siku zinakwenda miaka inasogea.. Watu tujifunze staha ya maneno kwa wenzetu
  11. Kakungulume

    Ndugu zake Jerry Muro wamkana

    Inji hii movie script writers ni wengi sana ..[emoji56]
  12. Kakungulume

    Mbowe amshukuru Magufuli kwa kutenganisha Wizara ya Nishati na Madini

    Ni vizuri kuwa na mtazamo chanya pale mazuri yakifanyika na kupinga mabaya yakitendeka pia.
  13. Kakungulume

    Q&A, kwanini kila habari ya Mange ni verified kuliko nyingine?

    Mimi simuamini hata kidogo. Inaonekana watu wakitaka kumshambulia mtu kwa kisasi lazima wapitie kwake, na yeye bila kuchuja na kujua upande wa pili ana publish hivyo hivyo. Kwa ujumla ni Mmbeya kama wambeya wengine. Ni shambenga haswaa. Shilawadu wananafuu.
Back
Top Bottom