Mimi sikutaka kabisa kujiunga na chama chochote na wala hatukujadiliana nao kuhusu hilo lakini kila Mwezi wananikata asilimia mbili ya Mshahara wangu!
Nikimwendea mwajiri ananiambia trade union ni lazima inikate makato hayo kwa kuwa mimi nanufaika na kazi zinazofanywa na hiyo Trade union
Wakuu kwema?
Nataka Kahama chama cha waalimu Tanzania (CWT) Je, Kuna vyama gani vingine mbadala tofauti na CWT? Kama Kuna mtu anavifahamu naomba anipe na mawasiliano ya Viongozi wa hivyo vyama.
Kampuni hii inakiuka utaratibu za Michezo ya kubashiri kwa kushindwa kuwalipa wateja wanaoshinda kwa wakati!!! Nimesharipoti Mara kwa Mara kwa bodi ya Michezo ya kubashiri na kubahatisha. Lipeni wateja lasivyo IPO siku tutafikishana pabaya
Naomba msaada google wananiambia wameshanitumia verification code ya adsensekwenye anwani yangu lakini Mimi sijaipata na nimeshaiomba upya Mara mbili!!! je tatizo mini? na nitaitatuaje?
Naomba msaada google wananiambia wameshanitumia verification code ya adsensekwenye anwani yangu lakini Mimi sijaipata na nimeshaiomba upya Mara mbili!!! je tatizo mini? na nitaitatuaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.