Mkuu Naomba na vifungu vya sheria hasa ambayo hainibani mimi kujiunga na chama cha wafanyakazi1. Unaruhusiwa kujiunga na chama chochote cha wafanyakazi kilichosajiliwa kwa mujibu wa sheria.
2. Siyo lazima chama hicho kiwe na neno "Walimu" kwenye jina lake.
3. Unaweza kuamua kuendelea na utumishi pasipo kuwapo kwenye chama chochote kile cha wafanyakazi.
Huwaga wanatuingiza kwenye makato bila Hiari yetu mkuuUkishatoka usikubali hela yako iliwe kwa kujiunga Na vyama Kula hela yako mwenyewe.
Mkuu Naomba na vifungu vya sheria hasa ambayo hainibani mimi kujiunga na chama cha wafanyakazi