Ukitaka silaha kuna fomu unajaza kisha maombi yako yanajadiliwa na kamati ya ulinzi na usalama kata,wilaya,mkoa kisha kwa DCI ndio tamati.Bunduki tayari umeilipia na risti zinaambatanishwa na maombi yako
Kama sababu ulizotoa zakumiliki silaha zitakubalika,DCI atakupa kibali cha kumiliki silaha...
Imeelezwa kuwa nchini India katika mji mmoja jamaa kamuua mkewe kwa kumnyima tendo LA ndoa kwa muda mrefu.Wanawake hiyo ndio fimbo yao ya kutuadhibu sisi wanaume.Hali hii inawakuta wanaume wengi ila huona aibu kueleza kuwa usiku wa Jana kanyimwa.Hakuna njia ni kuwabembeleza tu kwani ni miliki...
Maji yanaweza kuchanganyika na vitu vya nje kama vumbi nk kisha ikaingia ndani ya sikio aidha maji pekee yanaweza kuharibu ubora wa nta ya sikio Kama yataingia ndani isitoshe maji yanaweza kufanya nta itoke nje ikiwa yatakutana nayo Usiisumbue hiyo nta kwa namna yoyote
Hazina. za wajerumani zipo
Namna ya kuzipata ndio issue. Rupia haina thamani Bali wachawi wanaamini ikifanyiwa madawa ya kichawi inaweza kuleta hela kiajabu.Cha ajabu kila rupia utakayoipata wahitaji wanatoa kasoro.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.