Recent content by kakayake

  1. K

    Hii ni aibu kwa Jerry Silaa, Ufisadi mkubwa

    Kwa Tanzania leo hii hakuna chama kisicho na wanachama mafisadi! Si lazima nisema sana lakini kila mmoja wetu anajua namaanisha nini? Ufisadi wa mtu si wa chama ni wa mwanachama. mbona kuna wazazi wengi tu, watoto wao wazinzi, walevi kupindukia, machangudoa na vibaka, mzigo unakwendaje kwa baba...
  2. K

    Serikali yaanza kuwafilisi Wenye makontena waliokwepa kulipia kodi

    Hivi hao ni wadaiwa au wakwepa kodi nchi zingine walitakiwa kuwa ndani wananyea debe Afadhali ipi sasa? jiongeze mwenyewe
  3. K

    Ya Mnyika kujirudia kwa Kubenea: Kulikimbia jimbo la Ubungo

    Kubenea si mwana siasa. Ni mwana haraksti ambaye amebebwa na umaarufu wa chama. Jamaa uwezo wake ni mdogo sana. Sanasana anachoweza ni kutunga majungu na uzushi. Time will tell. Wana ubungo tayari wameshamchoka Wakati kuna wanachama wenzako waliokuwa wanamlilia japo kwa siku moja tu akawe...
  4. K

    Wito: Magesa Mulongo afukuzwe Kazi kwa Bullying. Dr. Faisal was acting under Provocation!

    Nimesoma hoja ya kila aliyechangia kwa Pasco. Nimejifunza kitu kimoja kikubwa sana kwamba, watu walichokuwa wakifanya ni kutoa nyongo kulingana na chama anachokiamini na kile alichonacho moyoni. Lakini sijaona hoja au mchango kutoka kwa mtu aliyekuwepo ndani ya kile kikao. Maana tumeambiwa...
  5. K

    BASATA yalifungia tamasha la Zari All-White Party

    ni uvumi tu huo, basata wamekanusha
  6. K

    Kikwete, Majaliwa na mkewe, wamtembelea Sumaye Muhimbili

    Safi sana! Hivi Mbowe na Lowassa sijawaona kwenda kumjulia hali Sumaye, Muhimbili!! Lakini kwa vyovyote vile watakuwa nje ya Dar, lazima wangekwenda. hHki ni kipindi cha kuzika uadui wa kampeni na kujenga nchi yetu chini ya Rais Magufuli 'JPM'
  7. K

    Hatimae gesi yashuka bei

    basi hapo 'stoku' ya zamani itaendelea kuuzwa hadi septemba mwaka huu! wabongo bwana!
  8. K

    Kikwete kwa nia njema kabisa lakini ameharibu hii nchi

    mbona mtoa hoja anarukaruka maneno kwa 'nia' nzuri tu. 'nchi' kama hii
  9. K

    Walichotufanyia CRDB Mlimani City siku ya Krismasi

    jana Krismasi, wateja walikwenda banki ya CRDB Tawi la Mlimani City wakiamini itafunguliwa saa 4 asubuhi na kufungwa saa 8 mchana kama tangazo lao mlangoni linavyosema siku za wikiendi na sikukuu. cha ajabu, mlinzi mmoja akapewa jukumu la kuwatangazia wateja kwamba hawatafungua tawi hilo mpaka...
  10. K

    Nyumba ya Sumaye kupigwa Nyundo mpaka Chini!

    isee isije ikawa ni msukumo wa kuamia chadema Wanapotumbuliwa viongozi serikalini wanasema CCM wanaisoma namba wenyewe, akiguswa wa CDM, majungu! Du! Wabongo bwana!
  11. K

    Mapokezi Global Publishers imenisikitisha

    ninavyojua mimi global huwezi kufika mapokezi kabla ya kukutana na mlinzi ambaye anaweza kukuruhusu baada ya mahojiano. mlangoni kuna tangazo la jitambulishe (kwa mlinzi) na kama ulifika mapokezi na hukuwa na mawasiliano na shigongo ya simu, basi hukuacha namba za simu, uliacha ujumbe tu wa...
Back
Top Bottom