Recent content by kakangale

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kajol Khan: Binti anayecheza, kula na kulala na Nyoka aina ya Cobra maisha yake yote

    Write your reply...utamaduni,na vipawa
  2. K

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Lazaro Nyalandu na Fatma Karume kugombea Urais kupitia CHADEMA 2020

    Write your reply...umesema sana ,ila yote sahihi muombe basi aingilie kati swala la wazee wastahafu ili nawo wampe ,baraka kama alivyo ingilia swala la korosho,sababu kumpangia mzee haki ya jasho lake ni dhambi
  3. K

    JamiiForums Tanzania Ubalozi wa Mongolia

    Write your reply...kunafaa kufanya utalii wa nje
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kilimo ni uti wa mgongo

    Wazo zuri umefika sasa wakati wa kutatua changa moto mfano sasa hivi mchele wa kyela unalimwa vietinam na ndio nchi ya kwanza ,duniani kwa sasa inayoo uzaa mchele duniani
  5. K

    JamiiForums Tanzania Vijue Vikokotozi vya Pension toka mifuko ya jamii..Fanya maamuzi sahihi

    Write your reply...jamani bado sijaelewa ukokotoaji tupia fomular
  6. K

    JamiiForums Tanzania Canada yahalalisha BaNGI, madukani foleni ni balaa

    Dawa ya mboga na sikio miko fulani
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kilimo ni uti wa mgongo

    Usemihuwo una mantiki sana, japo vijana tunajipotezea tujiulize ni kwanini? Wakoloni walikuja kulima mazao mbalimbali,walichukia ardhi yenye rutuba, wakaanzisha propaganda chafu tuchukie kilimo tuamke sasa,kila kitu ni ardhi tuamke sasa
  8. K

    JamiiForums Tanzania Nilime nini kati ya nanasi, machungwa, maembe na mapapai?

    Kabla hujafanya lolote ,tambua wazo lako ,jua changamoto za kila zao,fanya kautafiti,ka kina wewe mwenyewe ,pima udongo wa shamba lako anza kazi
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wa Afrika ni tegemezi na wapumbavu zaidi duniani?

    Tatizo wasomi hawajafanya resarch za maana nikitu gani?kifanyike katika jamii yetu, iko wapi? Elimu ya kujitegemea,misingi yake mbona ndioilikuwa mkombozi tatizo ni kukopi na kupesiti elimu za wenzetu, mungu atakuja kuwauliza
  10. K

    JamiiForums Tanzania Zitto: Kwanini Serikali inaogopa Wachunguzi wa Kimataifa? Ushauri wa Lema swadakta

    Wa jf mnauhakika serikali ashirikiani na taasisi za nje,au mnasikiliza porojo za wanasiasa,ambao wanatafuta vipato kwa njia yeyote
Back
Top Bottom