Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,264
Wana jf wengi wanalima kwenye keyboards na kwenye smartphone. Kwa bei ilivyosokoni Leo wananunua kwa bei ya jumla 1000 liwe kubwa liwe dogo .
Huwezi kujua faida na hasara za kilimo kama hulimi ,kama hutembelei wakulima wenzako.
Katika tafiti zangu Papai ni rahisi kulima kilimo mazao mengine na huwezi kutosholeza soko LA Papai maana kuna kiwanda bagamoyo wananunua kwa Tani
Huwezi kujua faida na hasara za kilimo kama hulimi ,kama hutembelei wakulima wenzako.
Katika tafiti zangu Papai ni rahisi kulima kilimo mazao mengine na huwezi kutosholeza soko LA Papai maana kuna kiwanda bagamoyo wananunua kwa Tani