Ubalozi wa Mongolia

Ubalozi wa Mongolia

Si huko mkuu ndiko ambako wananchi vijijini hawajawahi kuona ngozi nyeusi kabisa? Yaana mpaka vitoto huwa vinakimbia kujificha vikiona ngozi nyeusi!! Nakumbuka awamu moja tulienda Cambodia hayo ndo yalitukuta!!
Emenibidi nicheke kidogo...vip Asian country kama Thailand,Philipine na Indonesia wao ubaguzi hakuna
 
Philipine wapo poa sana isee tena kuna msikini zaidi yetu nilikuwa mall moja mji unaitwa makat bi dada aliomba sana nirudi nae bongo aje afanye hata kazi za ndani lkn nilpomwangalia nikajua najitafutia mke mwenza lkn very polite yani mwaaa.
Emenibidi nicheke kidogo...vip Asian country kama Thailand,Philipine na Indonesia wao ubaguzi hakuna
 
Ukifika huko useme umetoka Marekani,ukisema umetoka Afrika utabaguliwa zaidi ya mbwa.
Huko ni kujidharau kwa kufikiri kuwa watu kutoka marekani ndio bora sana. Ubaguzi upo kote duniani hata huko Marekani unakosema wewe, tunachofanya ni kukabiliana nao, huwezi kuukwepa ubaguzi hasa uliwa mweusi.
 
Philipine wapo poa sana isee tena kuna msikini zaidi yetu nilikuwa mall moja mji unaitwa makat bi dada aliomba sana nirudi nae bongo aje afanye hata kazi za ndani lkn nilpomwangalia nikajua najitafutia mke mwenza lkn very polite yani mwaaa.
Hongera sana kwa kufanikiwa kuizunguka Dunia,
 
Duh! Tour MONGOLIA? Au wewe ni mfugaji wa Ng'ombe/Kondoo unakwenda kula training huko?
 
Tafadhali naomba kujuzwa kama kuna uwakilishi wa MONGOLIA hapa nchini kwetu mwenye kuujua anijuze na location please.

Uende ubalozi wa sweden ndo wanatumia huo hapa nchini. Kwa hivi sasa hakuna baridi hadi mwz wa pili.
 
Tafadhali naomba kujuzwa kama kuna uwakilishi wa MONGOLIA hapa nchini kwetu mwenye kuujua anijuze na location please.
Hakuna ubalozi wa Mongolia hapa nchini. Mimi nilishafika Mongolia naweza kukusaidia baadhi ya maswali.
 
Ni nchi ya 19 kwa ukubwa wa eneo lake inapakana na Urusi na China, na Ina wakazi wasiozidi million 3 ivyo watu wako too scattered.....Visa on arrival nadhani kwa miezi mitatu. Ni wafugaji Sana na nchi isiyovutia kivileeeeee.....hata watu wake sio warembo kabisa....
 
Si huko mkuu ndiko ambako wananchi vijijini hawajawahi kuona ngozi nyeusi kabisa? Yaana mpaka vitoto huwa vinakimbia kujificha vikiona ngozi nyeusi!! Nakumbuka awamu moja tulienda Cambodia hayo ndo yalitukuta!!
Wanahisi ni tumbili labda
 
Jamani huu uzi mbona zilipendwa!! Naona mnakazana tu kujibu hii zamadamu ya tangia 2014 hukoooo!!....labda tumuulize mleta mada je alifanikiwa kwenda? Alifanikiwa kurudi salama? Au alizamia?
 
Back
Top Bottom