Canada yahalalisha BaNGI, madukani foleni ni balaa

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
Bangi
Bange
Msuba
Ganja
Njaga
Innocent plant
Mmea
Mjani
Etc kila mmoja anajina lake
Imetangazwa kuwa kiburudisho halali nchini Canada. Imekuwa nchi ya pili duniani kuhalalisha.
Ila
Ni kosa kutembea mtaani ukiwa na zaidi ya gram 50 ya bangI, pia ni kosa kupanda zaidi ya miche minne nyumbanI.

Kwa mara ya kwanza nchini humo kumeonekana foleni kubwa madukani watu wakienda kupata huduma ya bangI na
Misokoto yake. Mamia ya maduka ya bangI yamefunguliwa.

Wakati huohuo rais wa Mexico anashauri NAFTA wahalalishe bangi ili wajipatie kodi kuliko sasa biashara hiyo kufanyika kwa siri.

Nchi mbalimbali wanatoleo udenda soko hilo la bangi Canada, wengine wanashauri nchi zao angalau zihalalishe kilimo hicho kwa lengo la exportation sio kuvuta.

My take ;
HII kitu itakapokuwa halali duniani tutegemee mambo mengi ya ajabu ajabu kuliko sasa.

Source
Foxnews , Vox
 
Bangi
Bange
Msuba
Ganja
Njaga
Innocent plant
Mmea
Mjani
Etc kila mmoja anajina lake
Imetangazwa kuwa kiburudisho halali nchini Canada. Imekuwa nchi ya pili duniani kuhalalisha.
Ila
Ni kosa kutembea mtaani ukiwa na zaidi ya gram 50 ya bangI, pia ni kosa kupanda zaidi ya miche minne nyumbanI.

Kwa mara ya kwanza nchini humo kumeonekana foleni kubwa madukani watu wakienda kupata huduma ya bangI na
Misokoto yake. Mamia ya maduka ya bangI yamefunguliwa.

Wakati huohuo rais wa Mexico anashauri NAFTA wahalalishe bangi ili wajipatie kodi kuliko sasa biashara hiyo kufanyika kwa siri.

Nchi mbalimbali wanatoleo udenda soko hilo la bangi Canada, wengine wanashauri nchi zao angalau zihalalishe kilimo hicho kwa lengo la exportation sio kuvuta.

My take ;
HII kitu itakapokuwa halali duniani tutegemee mambo mengi ya ajabu ajabu kuliko sasa.

Source
Foxnews , Vox
Msukuma aliwai kusema ihalalishwe hapa bongo tukamuona n mtu wa kupuuzwa hana elimu kubwa, tutegemee soon kuona ikikubaliwa pia Kenya apo
 
Unajua ukifuatilia historia ban go ilikatazwa ili tumbaku isikose wateja kwa alcoholic act ya marekani...hii kitu haijawahi **** na tatizo..a sacred plant...ganja plantae
Hata historia ya madawa ya kulevya ni baada ya waamerica weusi kupoteza channel na kuanza kufanya mafujo.
Ila ushahidi wa kiuzoefu wavuta bangi wengi huwa hawaaminiki muda wowote wanaweza kufanya maamuzi fyongo na hatarishi.

Hata vikiwa halali bado ni hatarishi
 
Hata historia ya madawa ya kulevya ni baada ya waamerica weusi kupoteza channel na kuanza kufanya mafujo.
Ila ushahidi wa kiuzoefu wavuta bangi wengi huwa hawaaminiki muda wowote wanaweza kufanya maamuzi fyongo na hatarishi.

Hata vikiwa halali bado ni hatarishi
tatizo unapelekwa na emotion bila facts
netherlands imehalalisha bange toka 1998 for recreational use lakini ndo sehem pekee duniani jela zinafungwa kisa hamna wafungwa
Dutch prisons are closing because the country is so safe
 
Ni ujinga kuzuia uvutaji wa bangi wakati kila kana ya mtaa hapa nchini kuna muuza bange. Ni bora kuihalalisha na serekali kujipatia kodi.

Utakuta serekali inamtia mtu umasikini kwa kuharibu bange aliyolima shambani au kuteketeza ambayo ilikuwa inaenda soko. Vijana wengi ni wavutaji wazuri tu wa bangi so waachwe waivute maada wanafuata sheria taratibu na kanuni zitakazo wekwa.

Legalize it Marijuana....
By Peter McTosh
 
tatizo unapelekwa na emotion bila facts
netherlands imehalalisha bange toka 1998 for recreational use lakini ndo sehem pekee duniani jela zinafungwa kisa hamna wafungwa
Dutch prisons are closing because the country is so safe
Mkuu asante kwa comment.
Ila inabidi utafiti nini ilikuwa matokeo ya kuhalalisha utaliibangi holland.
Mfano mji wa maastritch uhalifu ulitiple. Kuna policy na sheria kali na kuna baadhi ya watu wa mataifa kadhaa walizuiwa kuuziwa bangi maana wanadata.
Ili ununue bangi inabidi uonyeshe kitambulisho.
Sio maneno yangu ni utafiti "weed team".

Sababu ya kufunga ma gereza ni nyingi sion kuruhusa bange na ukahaba.
-Vijana wengi ambao wanategemewa kufanya uhalifu mtaani miaka 12-18 wametekwa na mitandao, muda wao mwingi unatumika kwenye computer au simu badala ya kuzagaa mitaani.
Pia kuanzishwa kwa electric surveillance mfano electric tagging .

Pia wao walibadili mfumo maadili sio sababu ya mtu kuwekwa jela tofauti na kwingineko duniani.
Sio mimi ni kwa mujibu wa profesa wa criminology huko huko holland.

Hivyo sio suala la jumla jumla. Lazima ujipange ukiiga kila kitu huku unauwezo duni wa kudhibiti matokeo itakula kwako.
 
tatizo unapelekwa na emotion bila facts
netherlands imehalalisha bange toka 1998 for recreational use lakini ndo sehem pekee duniani jela zinafungwa kisa hamna wafungwa
Dutch prisons are closing because the country is so safe
Hahahaaaa. Bangi ni chakula poa Sana, nashangaaa maskini wanaaminishwa mambo ya ajabu kuhusu bangi,

Cha ajabu zaidi na kusikutika serikali inakosa mapato meeengi ya watumia bangi na walimaji
 
Back
Top Bottom