Itakuwa miujiza Salim Mh.kukubaliwa na CCM.Kwani huyu bwana si alikuwa Mwarabu siku zile za nyuma kulikoni sasa,lakini la pili huyu kwenye ile tume yao si walikubaliana serikali tatu,walitaka maadili ya viongozi,walitaka ukomo wa u bunge,walitaka mbunge asiwe waziri na kadha wa kadha.vyote...