kwa hali ya rwanda ni bora kagame atawale mileleKagame anavyopenda madaraka sudhani kama atakubali kumwachia mtu mwingine labda kama atalazimishwa na sioni wa kumlazimisha.
Kuna sifa moja hana huyo Dr siyo mwanajeshi.
Kagame atauwa mtu.mnaanza kumchokoza.mapema
Huku vipi....nani anachukuwa safari hii....
rz one
to the death or jail sentenceAll the best!![]()
Kaberuka? Basha? Huna adabu wewe!Mna mtabilia kifo huyo basha!
Kagame ni mtu makini akiondoka Madarakani nchi ya Rwanda itayumba sana. Amefanya makubwa mno Rwanda