Sasa hapo ulipoandika "... Tundu Lissu (naamini umeandika kwa herufi ndogo hill jina kwa makusudi), uchaguzi utakuja Magufuli atashinda…" umemaanisha Lissu atakufa kabla ya utawala huu wa awamu ya 5 kumaliza muhula wake au sio?
Kama jibu ni ndio, umetumia vigezo gani kuhitimisha hivyo?
Kaka...
Kwa namna ulivyoandika, ina maana ratiba yake ya "matengenezo" inajulikana kulingana na masaa iliyoruka. Sasa inakuwaje abiria wanasubirishwa muda mrefu wakati inajulikana siku fulani itakuwa gereji!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.