Recent content by Kaka

  1. Kaka

    John Heche: Magufuli aliniahidi kunipa nafasi ya Uwaziri kama ningekubali kuhamia CCM

    Bahati Magufuli (John Pombe) hayupo kukiri au kukana hilo.
  2. Kaka

    Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala katika JamiiForums

    Shukran sana kwa mwongozo huu. Angalau ni muhimu kukumbushana. Until then ...
  3. Kaka

    Mdude Chadema ahaidi kuendelea na mapambano

    Hebu tupe wewe jibu, nchi ina hosp na vituo vya afya vingapi?
  4. Kaka

    Tundu Lissu ni jasiri sijapata kuona!

    Sasa hapo ulipoandika "... Tundu Lissu (naamini umeandika kwa herufi ndogo hill jina kwa makusudi), uchaguzi utakuja Magufuli atashinda…" umemaanisha Lissu atakufa kabla ya utawala huu wa awamu ya 5 kumaliza muhula wake au sio? Kama jibu ni ndio, umetumia vigezo gani kuhitimisha hivyo? Kaka...
  5. Kaka

    Alfayo Kidata kupelekwa Mahakamani, ni balozi aliyerejeshwa kutoka Canada

    Null and Void ... TRNA ngoja tuongezee "abinitio"! Kaka ...
  6. Kaka

    Mary Keitany wins at New York Marathon 2018

    At least pro boxing brings us as international belts!
  7. Kaka

    TANZIA: Producer Joshua Magawa "Pancho Latino" wa B hitz records afariki dunia

    Anaitwa Amani, mdogo wake Hermes. Kwenye ile orodha ongeza:- Mabeste, Vanessa Mdee Kaka ...
  8. Kaka

    Mkurugenzi ATCL: Dreamliner haijaharibika, tunafanya marekebisho ya kawaida. Ndege bado ipo kwenye majaribio...

    Kwa namna ulivyoandika, ina maana ratiba yake ya "matengenezo" inajulikana kulingana na masaa iliyoruka. Sasa inakuwaje abiria wanasubirishwa muda mrefu wakati inajulikana siku fulani itakuwa gereji!
  9. Kaka

    Mkurugenzi ATCL: Dreamliner haijaharibika, tunafanya marekebisho ya kawaida. Ndege bado ipo kwenye majaribio...

    Dah! Afadhali na sisi tusubiri kulipwa fidia Wallah! Kaka ...
  10. Kaka

    Kwa mitaa ya Ukonga nikienda Pub gani Jumapili hii naweza kupunguza stress za maisha ?

    KB Champion Night Club [emoji2] [emoji2] [emoji2]
  11. Kaka

    Julius Mtatiro naye anasubiri siku tu

    Watu mnafukua makaburi. Haya!
Back
Top Bottom