Nimekuwa nikiyafakari ujasiri wa Lissu mpaka natetemeka, naogopa Lissu ni kiumbe wa nanmna gani.Mhe. TUNDU ANTPASS LISSU pamoja na kumharass kumfunga kusikiliza mawasiliano yake yote na hatimea Kwenda kumuua lakini guess what?!
Tundu lissu bado tupo nae Magogoni +Lumumba kamasi zinawavuja
View attachment 1017533
Mkuu nawe ni mjasiri sana. Una hakika Lissu Atakufa kabla ya mwingine!?Hana maajabu yoyote.wajinga ndio mliwawo....tundu lissu atakufa,uchaguzi utakuja Magufuli atashinda... Tanzania itazid kupaa na maisha yanaendelea..yeye atabak kuwa historia tu kwa unafki wake wa kutumia sheria kutetea ushoga na wizi wa rasilimali zetu
Usilolijua Ni sawa na usiku wa giza..waizi wa madini wapo wengi Ni chain inayoshirikiana..kila mmoja na kitengo chake.mwingine usafirishaji,mwingine kazi yake Ni ku negotiate na maafisa wa serikali na kuwapa rushwa , mwingine Ni kuwatetea na kuwaibia Siri na huyo ndo lissu pumbafuDuhhh!yako kali! lissu ndio mwizi wa rasilimali zetu?hemu acha utoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote tutakufa,Mimi,wewe na lissu...na tutakwenda kwenye maisha mapya na ya hapa tutayaacha hapahapa
Basi ujue kuwa utakufa. Hata hawo waliokuwa na nia ya kutakakumuuwa lissu watakufa na watakwenda yakuta walioyatenda.Wote tutakufa,Mimi,wewe na lissu...na tutakwenda kwenye maisha mapya na ya hapa tutayaacha hapahapa
Kwa Mara ya kwanza tangu mwaka uanze umeongea Point. Ni ukweli usioacha Shaka kwamba Lissu ni jasiri mdomoni tu na siyo jasiri wa kutumia risasi wala nguvu. Na ukitaka kumshinda jasiri wa mdomo tumia mdomo siyo risasi.Lisu jasiri mdomoni tu
Unajua hilo ni tukio la mwaka gani au ndege gani au unajidhalilisha tu hapa!View attachment 1017561
Nahiii aliuekuwaa anaikenulia meno
View attachment 1017561
Matemgenezo billioni 19
Sasa hapo ulipoandika "... Tundu Lissu (naamini umeandika kwa herufi ndogo hill jina kwa makusudi), uchaguzi utakuja Magufuli atashinda…" umemaanisha Lissu atakufa kabla ya utawala huu wa awamu ya 5 kumaliza muhula wake au sio?Hana maajabu yoyote.wajinga ndio mliwawo....tundu lissu atakufa,uchaguzi utakuja Magufuli atashinda... Tanzania itazid kupaa na maisha yanaendelea..yeye atabak kuwa historia tu kwa unafki wake wa kutumia sheria kutetea ushoga na wizi wa rasilimali zetu
Sio kweli. Ni full muziki. We nenda saa 11 asubui uone hamsha hamsha ya abiria, halafu karibu tena utuletee mrejesho. Hata kwenye parking lot panakutosha, ujumbe utapata.View attachment 1017608
Na bado! na ndege zinaenda tupu na bado zinapinduka Cheza na Lssu weye