Sundus Money Exchange and TransferHabari wakuu.
Nimetumiwa pesa kupitia Sundus money exchange and transfer kupitia Taaj Services.
Sasa ninejaribu kuyatafuta haya makampuni mawili hapa Tanzania lakini sijafanikiwa.
Naomba msaada kwa anaejua wanapatikana wapi.
Ikiwa umetumiwa pesa kupitia Sundus Money Exchange and Transfer kupitia Taaj Services, unaweza kwenda kwenye ofisi yoyote ya kampuni hiyo ili kuchukua pesa zako. Unaweza pia kuwasiliana na kampuni kwa simu ili kupata maelekezo zaidi.Taaj Services ni kampuni ya kubadilisha fedha na kutuma fedha inayomilikiwa na Sundus Group. Kampuni hiyo ina ofisi moja nchini Tanzania, ambayo iko:
Unaweza kuwasiliana na kampuni hiyo kwa simu:
- Dar es Salaam:
- Upanga, jengo la Mlimani City, ghorofa ya 1
- +255 22 213 0000
- +255 784 888 888
Dar es Salaam:
- Upanga, jengo la Mlimani City, ghorofa ya 11
Mkuu nashindwa kupata location ya Mlimani City Upanga na hizi number za simu zote sio za wahusika. Unaweza nisaidia kujua mtaa pleaseSundus Money Exchange and Transfer
Kulingana na taarifa nilizopata, Sundus Money Exchange and Transfer ni kampuni ya kubadilisha fedha na kutuma fedha inayomilikiwa na Sundus Group. Kampuni hiyo ina ofisi kadhaa nchini Tanzania, ikiwa ni pamoja na:
Unaweza kuwasiliana na kampuni hiyo kwa simu:
- Dar es Salaam:
- Upanga, jengo la Mlimani City, ghorofa ya 11
- Kariakoo, jengo la Kivukoni Plaza, ghorofa ya 1
- Mbezi Beach, jengo la Mbezi Centre, ghorofa ya 1
- Arusha:
- Upanga, jengo la Arusha Hotel, ghorofa ya 1
- Mbeya:
- Upanga, jengo la Mbeya Plaza, ghorofa ya 1
- Zanzibar:
- Stone Town, jengo la Forodhani, ghorofa ya 1
Taaj Services
- +255 22 213 0000
- +255 784 888 888
Ikiwa umetumiwa pesa kupitia Sundus Money Exchange and Transfer kupitia Taaj Services, unaweza kwenda kwenye ofisi yoyote ya kampuni hiyo ili kuchukua pesa zako. Unaweza pia kuwasiliana na kampuni kwa simu ili kupata maelekezo zaidi.
Kwa hisani: Google Gemmin
Siku hizi Kuna njia rahisi kama unatumia mtandao wa Voda (Mpesa)au Airtel lAirtel money) ni rahisi mtu kujutumia hela direct kuingia kwenye simu namba yako..inaitwa Sendwave ni yeye huyo anaekutumia hela anatakiwa kudownload hiyo app tu maelekezo atayafuataHabari wakuu.
Nimetumiwa pesa kupitia Sundus money exchange and transfer kupitia Taaj Services.
Sasa ninejaribu kuyatafuta haya makampuni mawili hapa Tanzania lakini sijafanikiwa.
Naomba msaada kwa anaejua wanapatikana wapi.
naomba namba yake inbox mkuuNilifanikiwa kupata hela. Ni kweli hawana office kwa hapa Tz ila Wana agent wao ambae niliwasiliana nae akanitumia kwa tigopesa