Recent content by Kaka Mpole

  1. Kaka Mpole

    Kuna kitu gani special katika hii pombe ya Hennessy?

    Kama suala Ni Hangover Basi Balimi is the best.
  2. Kaka Mpole

    TAWA yazindua bucha ya kwanza ya nyama pori

    Usinunue Kama hujaona kichwa
  3. Kaka Mpole

    Namanga: Madereva 23 toka Tanzania wazuiliwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na COVID-19

    Nahisi kila mmoja sasa ana corona virus mwilini mwake,mapambano huko ndani kwa ndani yatakuwa balaa,ukipona jua kinga za mwili zimekuokoa...na mpango wa Muungu kwa maana ya kudra zzake.
  4. Kaka Mpole

    Hongera Mbowe kwa kuendelea kuitafuna CHADEMA

    Siasa inalipa inategemea unaifanyaje,acha imlipe,tabiaa za nyumbu kwani huzijui?
  5. Kaka Mpole

    Ewe Joshua Nassary, Godbless Lema amekukosea nini?

    Mbinu nzuri naona mnaanza kum-"provoke" Dogo janja
  6. Kaka Mpole

    Balozi Sefue Ombeni, jipime na ustaafu kwa manufaa ya Umma

    Kwa mafile yaliyopo mezani bado ni msaada kwa JPM,na pia yeye ni mpokea majukumu,kama alikuwa hapewi majukumu angelifanyaje?sasa wakati wa kazi anapewa majukumu kila kukicha.Naamin kamaJPM hamkubali bado anamlia timing,ngoja aimiliki ofisi kwanza.
  7. Kaka Mpole

    Tunapocheka Wanapolia, Tusisahau Tutaacha Kucheka na Kuanza Kulia!

    Naamini wanaangalia hili kwa macho yote,atakuwa na washauri wa uchumi wabobezi,kinadhalia na kivitendo unachosema kinaweza kutoea na kinaweza kisitokee pia
  8. Kaka Mpole

    Makala: Buriani Komredi Mawazo, Mpe Hongera Zangu Ken Saro-Wiwa

    Hakika Mawazo alikuwa mbia wako,pole sana naamini pamoja na kuishi ndoto yako unaishi na yake pia ili kumuenzi.
  9. Kaka Mpole

    mkwasa mm sijaelewa ile sub

    Sasa samahani ya nn wakati ni timu yetu sote na Mkwasa kuchemsha......hata Maguli sub yake haikuwa Ngasa heri hata Msuva.....beki ya kati nayo ishachoka tupange kuwapa nafasi wengine.....makosa yao leo toka first half yalikuwa ya kizembe mno
  10. Kaka Mpole

    Raia wa Ufaransa aokolewa na Samsung Galaxy S6 edge

    Simu ilikuwa Ina hang au ilikuwaje ipige simu bila madhara kwa mwenye simu?
Back
Top Bottom