Nahisi kila mmoja sasa ana corona virus mwilini mwake,mapambano huko ndani kwa ndani yatakuwa balaa,ukipona jua kinga za mwili zimekuokoa...na mpango wa Muungu kwa maana ya kudra zzake.
Kwa mafile yaliyopo mezani bado ni msaada kwa JPM,na pia yeye ni mpokea majukumu,kama alikuwa hapewi majukumu angelifanyaje?sasa wakati wa kazi anapewa majukumu kila kukicha.Naamin kamaJPM hamkubali bado anamlia timing,ngoja aimiliki ofisi kwanza.
Naamini wanaangalia hili kwa macho yote,atakuwa na washauri wa uchumi wabobezi,kinadhalia na kivitendo unachosema kinaweza kutoea na kinaweza kisitokee pia
Sasa samahani ya nn wakati ni timu yetu sote na Mkwasa kuchemsha......hata Maguli sub yake haikuwa Ngasa heri hata Msuva.....beki ya kati nayo ishachoka tupange kuwapa nafasi wengine.....makosa yao leo toka first half yalikuwa ya kizembe mno
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.