Tuache ushabiki wa namna hii je mahakama haina wajibu wa kumuhoji mtu yoyote? Au kwa vile Lissu ndo mnakuja hivyo. Tusipende kupitiliza tuache watu wanyanye kazi hiyo
tumeambiwa hivyo kuwa thamani yake ni hiyo sasa wewe ndo unapaswa kudhibitisha kama dhahabu kiasi hiki ya bilioni hii haiwezi kuwa kwenye gari hiyo.Pia jua kwamba anayejua thamani ya mzigo ni nani sio unapakini bila kuja na kitu cha kuelimisha
polisi alikuwa mwendo kasi na hao pikipiki pia wameingia bila uangalifu barabara kuu . Pia analia uendeshaji wa pikipiki sehemu zote na ujiridhishe kuwa huwa wanafuata sheria za barabarani
Write your reply...watu humu mna povu la hatari lakini wanasema hata mbuyu ulianza kama mchicha na nchi kuwa donor inawezekana angalieni china ilikuwa wapi na leo ipo wapi .hivyo ni jukumu letu kila mmoja kwa wakati wake kuchangia mawazo chanya na nchi inaweza kusonga mbele ingawaje sio kama...
Write your reply...Je watanzania tunataka kiongozi wa namna gani wakati wa Kikwete mlisema ni dhaifu na kumuita vascoda gama amekuja huyu Jpm imekuwa shida tunataka nini . hii inadhihirisha kuwa binadamu hatosheki hata ukimpa nini milele hataridhika hebu tusimame imara tu tujenge nchi na uchumi...
Write your reply...ukitaka kujua ubora wa chuo nenda kafanye utafiti katika chuo husika acha hizi political of blabla hapa bila kuja na mambo sahihi na hakika vyuo vyote vipo tanzania nenda kajifunze
Write your reply...mh jamani mkopo ni jambo muhimu sana unasaidia sana chuoni maana bila mkopo kuna vijana hawajiungi na chuo. serikali inatakiwa kutafakari nini cha kufanya ili watanzania wapate elimu hata ikiwezekana kuanzisha mpango uwe kama bima ya elimu wazazi wote wachangie toka mtoto yupo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.