Bajeti ya Marekani ni dolla trillion 4 - hivi Magufuli huwa anawaza nini anaposema Tanzania yaweza kuwa donor country wakati wa Urais wake?

Harafu angalia ni kiasi gani kinatokana na revenue tu utapata picha.
 
Kwa ufafanuzi zaidi $4 Trillion ni Sawa na Tshs 9,200 Trillion yaani 9,200,000,000,000,000/=

Sisi tunakusanya 1.4 Trilion kwa mwezi kwa mwaka tuna 16.8 Trillion, kwa hiyo ili jamaa tuwafikie tunahitaji Miaka 547 kama tukianza kuzikusanya January hii inayokuja na kuziweka
 
Nilitaka nkujibu kulingana na Nature ya uzi wako kwani " when a provocative question is asked an equivalent answer is provided "

Ila busara imeniongoza goja nijibu kiustaarabu tu kama ifuatavyo!!

Kwanza nashkuru kwa umakini wako wa kufuatilia mambo!!! Kosa lako ni kufanya misinterpretation katka kauli hiyo pengne umeielewa ila umefanya kama kioja ili watu watoane mapoooovu!!

Kwanza nkusaidie kuifafanua kauli ya kwamba "Tanzania inaweza kuwa donor country " hapa neno la kuwekwa kwenye mjadala si mengn bali ni neno "INAWEZA " hapa ndo kwenye kujadili... Kwa wataalamu wa lugha hata kiherufi kimoja tu kikisahaurika huleta maana tofauti na kuharibu kabsa aidha maana ama muktadha wa kinachozungumzwa.... Binafs neno hili linakuwa na hadhi ya kutokuwa na uhakika yaani ukamilifu kwa kinachozungumziwa yaani kuweza inamaana huenda ikatokea au isitokee yaani yaweza kutimia ama isitimie hvyo hii ni possibility!! Ambapo hapa tunafanya prediction tu Kwahyo umefanya uchambuzi wa upande mmja yaani One side effect..... Wakati kuna one side effect umeiacha iki hang!!!!

Kwahyo nkutoe wasiwasi kbs Kwamba kimaana iko hvyo na yote yanaweza kutukia yaani inaweza iki tick positively ama negatively so tusipende kuongea tu wakat ukichambua kauli kwa undani utaona kwamba kilichozungumzwa kina maana... Mie sjakataa ila nmechambua inavyotakiwa ila wenzangu namie naona wanatirirka tu kupondea pasipo kujudge kisomi!!!

Kwa kugeneralize ktk muktadha wako pia naweza sema kwamba Ndyo tunaweza kwann waweze wao ila syo ss???? Ni suala la muda tu kwani hata Usa hajatokea tu akafikia hapo alipo hebu linganisha uhai wa mataifa haya mawili pia usome historia zao hadi hapo walipo... USA kuanzia 1770's Na Tanzania kuanzia 1960's then fanya mlingano utaona afya hapo!!!

Mdg mdg tutafika hata marekani walikuwa hvyo!! Soma pia historia za nchi za Uchina,,, Urusi Uingereza utaona kbsa Time is a final sayer!!!
 
Umetisha
Kwa ufafanuzi zaidi $4 Trillion ni Sawa na Tshs 9,200 Trillion yaani 9,200,000,000,000,000/=

Sisi tunakusanya 1.4 Trilion kwa mwezi kwa mwaka tuna 16.8 Trillion, kwa hiyo ili jamaa tuwafikie tunahitaji Miaka 547 kama tukianza kuzikusanya January hii inayokuja na kuziweka
 
Nilikuwa najiuliza zile nchi zinazoitwa donor countries na kiongozi wetu uchumi wake unafananaje - ndipo nikaamua ku-google Federal Budget ya dona kantre ambaye sote tunamjua - Marekani..

And man ohh man - hawa jamaa are filthy rich - if at all rich is the right word to describe them...federal bajeti yao kwa mwaka ni USD 4 trillion....

Sasa ndo nikajiuliza....Rais wetu huwa anawaza nini anaposema nchi hii yaweza kuingia kwenye Club ya dona kantrez kama Marekani katika miaka 10 ya Urais wake??? Au pale anapojitutumua kuwatunishia misuli? Kwa tukorosho hizi kweli?

NA tusisahau Korosho tayari zinatudodea pamoja na kupeleka Jeshi

View attachment 966320
Rais Magufuli yupo sahihi kabisa kama tukitumia rasilimali zetu vizuri Tanzania haiwezi kushindwa kuwa Donor country. Nchi kama Denmark, Finland, Sweden mbona zote ni donar countries wakati Tanzania tunakina aina ya utajiri.
 
Ni fikra za kijinga kabisa kufikiria kuwa eti mali asilia ndiyo zinaweza pekee kuwafanya muwe matajiri.

Utajiri mkubwa ni kichwani wala siyo kwenye mikia ya fisi na pundamilia.

Utalii wenyewe tunaojivunia unatuingizia $1.9 billion. Afrika Kusini wasio na Serengeti wanaingiza $5 billion kwenye utalii. Egypt wasio na Mikumi wanaingiza $7 billion. Mji, siyo nchi, mji wa Paris usio na Ngorongoro unaingiza zaidi ya $80 billion kwa mwaka. Hapo ndipo inapoonesha kuwa vivutio asilia bila kuwekeza akili, havina maana katika mapato. Kila kitu ni kichwani

Hakuna uwezekano wowote wa kuzifikia mapato nchi kama Norway, kama tutaendelea na ujinga kuwa ukiwa tu na mbuga za wanyama, au dhahabu au Tanzanite, basi weqe ni tajiri. Utajiri wa leo upo kwenye kichwa.
Kweli mkuu kuwa na resimali sii kigezo kuwa ni tajiri na watanzania wengi tunadhani vitu tulivyonavyo nchi zingine hazina kumbe nchi zingine zinazo ndiyo maana zinatuzi sana kila nchi duniani inavitu vingi sana mfano dhahabu ukiangalia kidunia sisi wangapi kwa dhahabu utangundua sisi ni masikini Wa fikira hata na hizi resimali tusijidanganye
 
Ni fikra za kijinga kabisa kufikiria kuwa eti mali asilia ndiyo zinaweza pekee kuwafanya muwe matajiri.

Utajiri mkubwa ni kichwani wala siyo kwenye mikia ya fisi na pundamilia.

Utalii wenyewe tunaojivunia unatuingizia $1.9 billion. Afrika Kusini wasio na Serengeti wanaingiza $5 billion kwenye utalii. Egypt wasio na Mikumi wanaingiza $7 billion. Mji, siyo nchi, mji wa Paris usio na Ngorongoro unaingiza zaidi ya $80 billion kwa mwaka. Hapo ndipo inapoonesha kuwa vivutio asilia bila kuwekeza akili, havina maana katika mapato. Kila kitu ni kichwani

Hakuna uwezekano wowote wa kuzifikia mapato nchi kama Norway, kama tutaendelea na ujinga kuwa ukiwa tu na mbuga za wanyama, au dhahabu au Tanzanite, basi weqe ni tajiri. Utajiri wa leo upo kwenye kichwa.
Umedhihirisha ujinga wako. Hujui ulisemalo
 
Ni fikra za kijinga kabisa kufikiria kuwa eti mali asilia ndiyo zinaweza pekee kuwafanya muwe matajiri.

Utajiri mkubwa ni kichwani wala siyo kwenye mikia ya fisi na pundamilia.

Utalii wenyewe tunaojivunia unatuingizia $1.9 billion. Afrika Kusini wasio na Serengeti wanaingiza $5 billion kwenye utalii. Egypt wasio na Mikumi wanaingiza $7 billion. Mji, siyo nchi, mji wa Paris usio na Ngorongoro unaingiza zaidi ya $80 billion kwa mwaka. Hapo ndipo inapoonesha kuwa vivutio asilia bila kuwekeza akili, havina maana katika mapato. Kila kitu ni kichwani

Hakuna uwezekano wowote wa kuzifikia mapato nchi kama Norway, kama tutaendelea na ujinga kuwa ukiwa tu na mbuga za wanyama, au dhahabu au Tanzanite, basi weqe ni tajiri. Utajiri wa leo upo kwenye kichwa.


Sahihi na summarize ni Elimu Elimu Elimu!

Hata China wanaikimbiza USA ni baada ya kuwekeza uhuko na kuanza kufyatua degreee na certificate za kutosha!
 
Write your reply...watu humu mna povu la hatari lakini wanasema hata mbuyu ulianza kama mchicha na nchi kuwa donor inawezekana angalieni china ilikuwa wapi na leo ipo wapi .hivyo ni jukumu letu kila mmoja kwa wakati wake kuchangia mawazo chanya na nchi inaweza kusonga mbele ingawaje sio kama mtoa mada alivyosema kwa mudahuo wa uongozi huu tu ila ukiamua inawezekana. ila walisema ili ufanikiwe unahitaji maadui kuliko marafiki
 
Its a dream, a wishful thinking, tusimhukumu kwa hayo, hata hivyo its a challenge kwetu, why not, yawezekana...
 
Nilikuwa najiuliza zile nchi zinazoitwa donor countries na kiongozi wetu uchumi wake unafananaje - ndipo nikaamua ku-google Federal Budget ya dona kantre ambaye sote tunamjua - Marekani..

And man ohh man - hawa jamaa are filthy rich - if at all rich is the right word to describe them...federal bajeti yao kwa mwaka ni USD 4 trillion....

Sasa ndo nikajiuliza....Rais wetu huwa anawaza nini anaposema nchi hii yaweza kuingia kwenye Club ya dona kantrez kama Marekani katika miaka 10 ya Urais wake??? Au pale anapojitutumua kuwatunishia misuli? Kwa tukorosho hizi kweli?

NA tusisahau Korosho tayari zinatudodea pamoja na kupeleka Jeshi

View attachment 966320
Kwani lazima uwe donor kwa USA? ?
 
!
!
Mtoa Uzi Hukumwelewa Labda. Huenda Alimaanisha Donor Kantri, Yaani Nchi Ya Donati, Zile Ziko Kama Maandazi Katikati Zina Tobo Hivi. Kwamba Zipo Kibao Kibao Hadi Tunakuwa Donaz
 
Nilikuwa najiuliza zile nchi zinazoitwa donor countries na kiongozi wetu uchumi wake unafananaje - ndipo nikaamua ku-google Federal Budget ya dona kantre ambaye sote tunamjua - Marekani..

And man ohh man - hawa jamaa are filthy rich - if at all rich is the right word to describe them...federal bajeti yao kwa mwaka ni USD 4 trillion....

Sasa ndo nikajiuliza....Rais wetu huwa anawaza nini anaposema nchi hii yaweza kuingia kwenye Club ya dona kantrez kama Marekani katika miaka 10 ya Urais wake??? Au pale anapojitutumua kuwatunishia misuli? Kwa tukorosho hizi kweli?

NA tusisahau Korosho tayari zinatudodea pamoja na kupeleka Jeshi😅😅

View attachment 966320
Ana maanisha tuanze kufikiria kuwa tunaweza. Mbona nchi za Far East wameweza? We can easily meet Korea, China au Malaysia
 
Back
Top Bottom