Recent content by kajol

  1. K

    Naombeni msinilaumu kwa uamuzi niliouchukua kwa mume wangu

    cha msingi tulia dada yangu na mieleshe juu ya athari watakazozipata watoto wenu ili msije mkajikuta mnapata ukimwi na baadaye watoto wenu watabaki yatima ni bora mkayamaliza
  2. K

    Sema chochote kuhusu MwanaFA

    mwana fa wewe ni mwanamuziki uliyetulia na usiyekuwa na scandles endelea hivyo hivyo bro
  3. K

    WEMA na PREZZ dating?

    hongera zao na kama ni kweli bac wema atulie kwa prezzo
  4. K

    Hivi wewe ungekuwa ndugu wa mume wa mwanamke huyu ungejisikiaje

    lkn japo angekuwa na huzuni kama alimpenda kwa dhati mumewecoz hubby wake bado yupo jela..bt dis is hw digital love is
  5. K

    Hebu onesha upendo kwa Mwenyekiti nikiwa hai, msisubiri hadi nikifa........

    huyu mtu aliponea kifo cha wizi au coz hp sura ilicharazwa na mapanga
  6. K

    Barua ya wazi kwawana CHADEMA

    mhhh asante kwa kunifahamisha kkn kura ya mtu ni siri yake na hauwezi kujua kama zitto baada ya kupata urais atabadilika au la kwasababu watu hubadilika
  7. K

    TANZIA Sharo Millionea afariki dunia

    buriani sharo millionare Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amen!
  8. K

    Mastaa wa bongo: JK amwita Diamond ikulu

    Big up diamond! do the best show ili siku nyingine ualikwe kwenye sherehe au mkutano mwingine.Na kwa juhudi zako utwaonyeshea njia hata wasanii wenzako wa bongo fleva!
  9. K

    Watu wawili wanaodaiwa kutaka kumuua Ali Kiba wasema walitumwa na TID

    Da ninatamani kupata more news about that issue coz it is interesting.Lakini kama kweli hawa wanamuziki wa kizazi kimya wanaenda wapi? badala ya kuendeleza mziki wa kizazi kimpya wao wanaleta mabo mengine! dah!
  10. K

    Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

    Ni kweli unachokiongea maana hiyo mahakama ingeanzishwa na watanzania tungelazimishwa kuifuata watu wengine wange teseka sana.Na pia watambue kuwa nchi yetu haina dini!
  11. K

    Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    Ila hawa watu watakuwa wanalipwa alot of money.coz hawa ni viongozi wa juu katika serikali yetu,so hata salary zao zitakuwa ni kubwa!
  12. K

    Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    Mmmmh!labda watu wao wa karibu lakini mshahara wa mtu ni siri yake!
Back
Top Bottom