Habari wakuu nimepata changamoto ya kuomba nafasi OSHA kipengele cha Engineer II (PLANT) ina vigezo, uwe una bachelor degree in mechanical engineering na pia uwe registered as graduate engineer na ERB sifa zote hizo ninazo ila bado inagoma leo ni siku ya tatu naomba niwasilishe wakuuu mnipe msaaada.
habari wakuu nimepata changamoto ya kuomba kazi ya OSHA ajira portal kitengo cha Engineer II (Plant), vigezo walivyoainisha ninanyo lakini bado inagoma leo ni siku ya tatu, mwenye kujua ufumbuzi wake anisaidie wakuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.