moja ya maneno ya baba wa taifa alisema,mtu anakwambia neno la kijinga na wewe unajua la kijinga unakubali anakuita juha,wamarekani kazi yao ni kuchonganisha tu ninyi kwa,ninyi muuane wakati wao wanachuma mali km,mafuta nk huki wakiuza saraha zao,sio watu ni wauwaji kuliko hata alkaeda.
ukiwa muongo kumbuka kuweka kumbukumbu,alianza kusaliti chama chake slaa hata kabla hakijamkaribisha lowassa,mambo mengine kama hanjui bora tu kunyamaza mnatia aibi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.