Recent content by kaizabashir

  1. K

    CCM inaogopa kivuli cha Maalim Seif

    namba inasomeka sasa cjui nani anaisoma vizuri,uliimbwa sana kwenye kampeini baadhi hawakosi kwenda kusalimia white house cjui wamesahau nn.
  2. K

    Terrorist attack in India

    moja ya maneno ya baba wa taifa alisema,mtu anakwambia neno la kijinga na wewe unajua la kijinga unakubali anakuita juha,wamarekani kazi yao ni kuchonganisha tu ninyi kwa,ninyi muuane wakati wao wanachuma mali km,mafuta nk huki wakiuza saraha zao,sio watu ni wauwaji kuliko hata alkaeda.
  3. K

    Dar: Kinondoni kutengeneza Mtaa maalum wa Baa tu

    akili za kuambiwa changanya na zako.
  4. K

    Zuio la Uchaguzi Meya wa Dar Lageuka Kaa la Moto, Aliyelisoma asema Hakujua kama ni halali au feki

    watabana saaaana mwishowe wataachia tu,hakuna namna nyingine cku ya kifo cha nyani.....
  5. K

    Tumshukuru Mungu kutuepusha na Dr. Slaa

    ukiwa muongo kumbuka kuweka kumbukumbu,alianza kusaliti chama chake slaa hata kabla hakijamkaribisha lowassa,mambo mengine kama hanjui bora tu kunyamaza mnatia aibi
  6. K

    CCM iligawa rushwa siku ya kuamkia uchaguzi mkuu

    tunahitaji ushahidi wa hela kwa yeyote aliyetoa kipindi cha uchaguzi bila kujali chama gani kama huna funga mdomo.
  7. K

    Rai: Waziri aliyetuma SMS kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo awajibishwe!

    tumuombee panatakiwa moyo wa chuma tulifikia kibaya kama EWURA, TIPPER nk wanafanya madudu unategemea rais ana kazi ndogo!
  8. K

    Hamad Rashid kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar?

    kashafukuzwa pamoja na kutoa historia yake ndeeeefu,pole nenda na wakati.
  9. K

    Ofisi za CCM Pemba zachomwa moto, CCM walaani hicho kitendo

    ukiwa bara unauwezo wa kusema lolote juu ya zanzinbar,tafakari kama ndg zako wako uko watakuwa ma hali gani.
  10. K

    Nape Kuachia Nafasi ya Ukatibu Uenezi CCM!

    bora aendelee na nafasi ya uhakika ktk chama,nachelea kusema hana uhakika na nafasi ya serikalini kwa miaka 5 maana kashapoteza dira tena asb.
  11. K

    Lema ang'aka kuhusu Zanzibar, Amwambia Chenge asijione Mungu mdogo

    usikubali kuvutwa shati na asiyetaka kukimbia.
  12. K

    Magufuli ndio anatoa 'Coup de grace' kwa CCM

    ukishazoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha,mazoea mabaya sana epukeni nayo.
  13. K

    Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

    toeni mada/changieni mada kwa kutumia vichwa siyo niniliii alishawahi kuisema mstahiki meya wa jj kubwa kwa wabunge wa kipindi hicho mkoa wa dar.
Back
Top Bottom