Nape Kuachia Nafasi ya Ukatibu Uenezi CCM!

HAMY-D

JF-Expert Member
Sep 18, 2011
7,149
3,825
WanaJF,

Kuna taarifa ndani ya chama kuwa ndugu Nape Nnauye (mb) ambae ni katibu mwenezi wa chama na waziri wa habari anatarajia kubwaga manyanga nafasi zake ndani ya chama kutokana na majukumu yake ya sasa serikalini.

Tofauti na vyama vingine, CCM inafanya mambo yake kisayansi. Kwamba ili ufanisi kwenye kazi uwepo ni lazima mtu ajitathmini ikiwa ataweza kushikilia madaraka ya chama kiutendaji na yale ya serikali kwa wakati huo huo. Amesema mtoa taarifa wetu.

Hivyo ndugu Nape kwa upande wake anatarajia kuachana na uongozi ndani ya chama, na badala yake kuwekeza nguvu na maarifa yake katika nafasi ya uwaziri na kutumikia wananchi wake wa jimbo la Mtama.

Mbowe na genge lako unapaswa kuiga mfano huu wa Nape. Uroho wa madaraka SIO dili.
 
Nape naye aache utoto. Kwani kuna ubaya gani kuendelea kuwa Katibu Mwenezi wakati huo huo akaendelea kuwa Waziri? Mbona Rais anakuwa Mwenyekiti wa Chama na bado mambo yanaenda? Au anataka kuwapa nafasi ya kupumua kidogo hawa UKAWA maana dah amewabana mpaka wanakosa hoja
 
Kambana nani mbulula huyo? UKAWA hawawezi kubanywa na mtu kama huyo ambaye kwa muda mfupi tu ameshaanza kuonekana ni mweupe kichwani hoja zake alizotoa hewani zikasikika kwa wotu zote amemwaga cheche hasa ile ya uhusiano wa TFF na ZFA, hii itapelekea aogope hata kuzungumza.
 
alikuwa na kofi nyingi za uongozi kitu ambacho kingeleta mgongano wa kimasilahi...
... umbunge, ukatibu uenezi, uwaziri, ....

bora awaachie wengne nao waonyeshe ujuzi.

rais angalie hili la viongozi kuwa na nyazifa zaidi ya mbili.
 
Kambana nani mbulula huyo? UKAWA hawawezi kubanywa na mtu kama huyo ambaye kwa muda mfupi tu ameshaanza kuonekana ni mweupe kichwani hoja zake alizotoa hewani zikasikika kwa wotu zote amemwaga cheche hasa ile ya uhusiano wa TFF na ZFA, hii itapelekea aogope hata kuzungumza.
Hili la TFF Nape amejidhalilisha sana! Ajipime na kujitathmini kama anatosha kuendelea na uwaziri.
 
WanaJF,

Kuna taarifa ndani ya chama kuwa ndugu Nape Nnauye (mb) ambae ni katibu mwenezi wa chama na waziri wa habari anatarajia kubwaga manyanga nafasi zake ndani ya chama kutokana na majukumu yake ya sasa serikalini.

Tofauti na vyama vingine, CCM inafanya mambo yake kisayansi. Kwamba ili ufanisi kwenye kazi uwepo ni lazima mtu ajitathmini ikiwa ataweza kushikilia madaraka ya chama kiutendaji na yale ya serikali kwa wakati huo huo. Amesema mtoa taarifa wetu.

Hivyo ndugu Nape kwa upande wake anatarajia kuachana na uongozi ndani ya chama, na badala yake kuwekeza nguvu na maarifa yake katika nafasi ya uwaziri na kutumikia wananchi wake wa jimbo la Mtama.

Mbowe na genge lako unapaswa kuiga mfano huu wa Nape. Uroho wa madaraka SIO dili.
Hiyo haituhusu peleka huko huko lumumba
 
Nape naye aache utoto. Kwani kuna ubaya gani kuendelea kuwa Katibu Mwenezi wakati huo huo akaendelea kuwa Waziri? Mbona Rais anakuwa Mwenyekiti wa Chama na bado mambo yanaenda? Au anataka kuwapa nafasi ya kupumua kidogo hawa UKAWA maana dah amewabana mpaka wanakosa hoja
nApe sasa inatosha, mtu akikaa sana uongozini anadhani hakuna wengine wanaoweza kuongoza, ndio maana ya kubadilishana uongozi....
 
Nape naye aache utoto. Kwani kuna ubaya gani kuendelea kuwa Katibu Mwenezi wakati huo huo akaendelea kuwa Waziri? Mbona Rais anakuwa Mwenyekiti wa Chama na bado mambo yanaenda? Au anataka kuwapa nafasi ya kupumua kidogo hawa UKAWA maana dah amewabana mpaka wanakosa hoja
Hivi ni lini unarudi kivukoni kuning'inizwa?
 
Kambana nani mbulula huyo? UKAWA hawawezi kubanywa na mtu kama huyo ambaye kwa muda mfupi tu ameshaanza kuonekana ni mweupe kichwani hoja zake alizotoa hewani zikasikika kwa wotu zote amemwaga cheche hasa ile ya uhusiano wa TFF na ZFA, hii itapelekea aogope hata kuzungumza.
Tanzania Football Association
 
alikuwa na kofi nyingi za uongozi kitu ambacho kingeleta mgongano wa kimasilahi...
... umbunge, ukatibu uenezi, uwaziri, ....

bora awaachie wengne nao waonyeshe ujuzi.

rais angalie hili la viongozi kuwa na nyazifa zaidi ya mbili.
Hiyo nafasi ya u vuvuzela ndiyo inayo mfaa
 
hahahaha ccm buana bila kuitaja ukawa hasa chadema hamuwezi kupata kiki katika nyuzi zenu
ni sawa na wasanii wanavyotafuta kiki kwa diamond au wema .......bila chadema hakuna habari wala habari hainogi...
peoplesssssssss! dah nimemis kuzungusha mikono ! Lowasa baba unaanza lini ziara ?
 
Back
Top Bottom