Makonda leo aibukia Kawe Ukwamani

Makonda leo aibukia Kawe Ukwamani

kwani wewe unadhani kiongozi akifika kila jambo atalimaliza hapohapo mambo mengine ni mchakato siyo papo kwa papo.
Awamu hii mtumishi akisema neno mchakato anaambiwa suala la mchakato halitakiwi kabisa
 
Dah, haya maswali ni ya darasa la tatu.
By the atakua anaamka asubuhi na familia yako kuokota maganda ya maembe na kuyatupa jalalani kisha kuyachoma moto!!
Siyo lazima uandike maneno ya kizungu usichokuwa na uwezo nacho hiyo By the ndiyo kitu gani?hayo maganda ya muwa yanahusikaje na kipindupindu kuwa historia?tuliza akili uchangie cha maana.
 
Kama umeanza matusi it means huitaji kuelewa bali unatafuta ogomvi, so plz stay away!!!!
Nilijua huna unachokijua na utatoka mbio liko wapi tusi hapo?jibu ulichotakiwa kujibu acha woga hapa.
 
bahati mbaya mimi kama mtumiaji wa daladala toka Kinondoni sijaona hata mwalimu mmoja na kitambulisho chake, nilitaka nipate picha ya awali
 
Umejionea kwa macho yako ama umesikia tu.
 
Back
Top Bottom